Bwawa la mindu
Member
- Apr 20, 2022
- 34
- 47
- Thread starter
- #21
Sihitaji mrembo ila nahitaji mwanamke anaeyapitia haya. Mshukuru mungu uko salama ndugu.Anaweza kuamua pia mkuu! Options huwa zipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sihitaji mrembo ila nahitaji mwanamke anaeyapitia haya. Mshukuru mungu uko salama ndugu.Anaweza kuamua pia mkuu! Options huwa zipo.
AmenNa Ndio Ushindi...
Asante sana kwa kutambuaHajaweka kigezo cha U beautiful [emoji177].
He is only looking for a wife.
AmeeeenMkuu, Hongera sana.
You deserve to be happy too.
Mungu aongeze biashara yako Mara Dufu. Amen.
AsanteKila la kheri mzee
Barikiwa pia nduguAll The Best.
Barikiwa kwa ku support.
AminaKila la kheri mzee
Shukrani mkuuMkuu, Hongera sana.
You deserve to be happy too.
Mungu aongeze biashara yako Mara Dufu. Amen.
AsanteAll The Best.
Barikiwa kwa ku support.
Namaanisha nduguAll The Best.
Barikiwa kwa ku support.
Sifanyi utani ndugu nimemaanisha,Nina wajua wawili, mmoja ana degree, mwingine ni 4m4, degree ana 28 yrs, form ana 22 years, chagua nikutumie namba PM.
NB 22 yrs is more beautiful than 28! 28 ni ndugu yangu, 22 ni best friend wangu.
AsanteKila la kheri
NtashukuruNakutumia namba PM, naomba umchek kama una nia, atakubali.
Ndugu zangu namaanisha,nawapa pole mnaoleta utani. Niko na afya nzuri nikiamua ntamchukua mwanao,mdogowako,mkewako, au mchumbawako.Habari zenu waungwana, mimi ni mwanaume umri miaka 38. Naishi dar ni mjasiria mali, natafuta mwenza aliye serious. Mimi ni mwathirika wa vvu natamani nipate mke mwenye hali kama yangu ili tuishi kwa pamoja.dini yangu ni mkiristo ila mwenza awe wa dini yoyote sichagui. Ahsanteni.
Nimemaanisha nduguzangu, niko serious natamani nipate mtu wa hali kama yangu.Habari zenu waungwana, mimi ni mwanaume umri miaka 38. Naishi dar ni mjasiria mali, natafuta mwenza aliye serious. Mimi ni mwathirika wa vvu natamani nipate mke mwenye hali kama yangu ili tuishi kwa pamoja.dini yangu ni mkiristo ila mwenza awe wa dini yoyote sichagui. Ahsanteni.