Nafuta mke mwathirika wa HIV

Nafuta mke mwathirika wa HIV

Habari zenu waungwana, mimi ni mwanaume umri miaka 38. Naishi dar ni mjasiria mali, natafuta mwenza aliye serious. Mimi ni mwathirika wa vvu natamani nipate mke mwenye hali kama yangu ili tuishi kwa pamoja.dini yangu ni mkiristo ila mwenza awe wa dini yoyote sichagui. Ahsanteni.
Mkuu nenda instagram kwenye page ya hiv_postive_livingi naimani itaji la moyo wako utalipata kwa ulahisi
 
Ooh no , mkuu huwezi jua kuna sababu nyingi sana zinazosababisha maambukizi, what if alizaliwa nao kumuuliza atafeel aje?, muhimu tujilinde na tulinde afya za wenzi wetu, tena wewe una ma baby zaidi ya mmoja bisha?😀
Kunaitwa kufumwa na mamamkwe
 
Ooh no , mkuu huwezi jua kuna sababu nyingi sana zinazosababisha maambukizi, what if alizaliwa nao kumuuliza atafeel aje?, muhimu tujilinde na tulinde afya za wenzi wetu, tena wewe una ma baby zaidi ya mmoja bisha?[emoji3]
Amebak m1..
 
Nina wajua wawili, mmoja ana degree, mwingine ni 4m4, degree ana 28 yrs, form ana 22 years, chagua nikutumie namba PM.

NB 22 yrs is more beautiful than 28! 28 ni ndugu yangu, 22 ni best friend wangu.
Kwenye mpira tunasema umepiga pasi halafu humtazami mpokeaji

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu waungwana, mimi ni mwanaume umri miaka 38. Naishi Dar ni mjasiriamali, natafuta mwenza aliye serious. Mimi ni mwathirika wa vvu natamani nipate mke mwenye hali kama yangu ili tuishi kwa pamoja. Dini yangu ni mkiristo ila mwenza awe wa dini yoyote sichagui. Ahsanteni.

Ni PM yupo mmoja
 
Back
Top Bottom