Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nenda instagram kwenye page ya hiv_postive_livingi naimani itaji la moyo wako utalipata kwa ulahisiHabari zenu waungwana, mimi ni mwanaume umri miaka 38. Naishi dar ni mjasiria mali, natafuta mwenza aliye serious. Mimi ni mwathirika wa vvu natamani nipate mke mwenye hali kama yangu ili tuishi kwa pamoja.dini yangu ni mkiristo ila mwenza awe wa dini yoyote sichagui. Ahsanteni.
Kunaitwa kufumwa na mamamkweOoh no , mkuu huwezi jua kuna sababu nyingi sana zinazosababisha maambukizi, what if alizaliwa nao kumuuliza atafeel aje?, muhimu tujilinde na tulinde afya za wenzi wetu, tena wewe una ma baby zaidi ya mmoja bisha?😀
Amebak m1..Ooh no , mkuu huwezi jua kuna sababu nyingi sana zinazosababisha maambukizi, what if alizaliwa nao kumuuliza atafeel aje?, muhimu tujilinde na tulinde afya za wenzi wetu, tena wewe una ma baby zaidi ya mmoja bisha?[emoji3]
Amebaki yupi huyo? Au unamaanisha umeacha michepuko umebaki na mmoja?😂Amebak m1..
Kwenye mpira tunasema umepiga pasi halafu humtazami mpokeajiNina wajua wawili, mmoja ana degree, mwingine ni 4m4, degree ana 28 yrs, form ana 22 years, chagua nikutumie namba PM.
NB 22 yrs is more beautiful than 28! 28 ni ndugu yangu, 22 ni best friend wangu.
Habari zenu waungwana, mimi ni mwanaume umri miaka 38. Naishi Dar ni mjasiriamali, natafuta mwenza aliye serious. Mimi ni mwathirika wa vvu natamani nipate mke mwenye hali kama yangu ili tuishi kwa pamoja. Dini yangu ni mkiristo ila mwenza awe wa dini yoyote sichagui. Ahsanteni.