Nafuu tusiwe na utambulisho kuliko singeli kuwa utambulisho wa muziki wa Tanzania

Batswana wanajitambulisha kwa muziki na uvaaji wao...
Hata sisi twende na singeli ya asili achana na akina Dula




View: https://youtu.be/XPr1fdCWglA?si=oQ6kZnW1PKdMEBBT
Singeli inajulikana mikoa mingapi? Hili jambo sidhani ni la viongozi kupanga. Waachie wananchi waamue. Kinachofanya Tanzania iwe na ugumu wa kuwa na mziki au vazi la taifa ni kuwa makabila yapo mengi sana hivyo kuja na kitu common itakuwa ngumu.
 
Singeli Haina hadhi ya kuitwa muziki Bali NGOMA za kienyeji za kizaramo. Hivi haya maongezi yanayoitwa singeli yanaweza kudokilizwa nje ya Tanzania au kutoboa kimataifa?
 
Singeli inajulikana mikoa mingapi? Hili jambo sidhani ni la viongozi kupanga. Waachie wananchi waamue. Kinachofanya Tanzania iwe na ugumu wa kuwa na mziki au vazi la taifa ni kuwa makabila yapo mengi sana hivyo kuja na kitu common itakuwa ngumu.
Kiswahili hakikuwa kwa Tanzania nzima bali kilisambaa kwa mfumo wa elimu na uelimishaji kuhusu umuhimu wake.
Congo wana aina nyingi ya muziki ila uliopitishwa wakaupambania hadi umekuwa utambulisho wao.
 
Kiswahili hakikuwa kwa Tanzania nzima bali kilisambaa kwa mfumo wa elimu na uelimishaji kuhusu umuhimu wake.
Congo wana aina nyingi ya muziki ila uliopitishwa wakaupambania hadi umekuwa utambulisho wao.
Basi na hiyo singeli iachwe isambae, kama inapendeka. Wewe unaona ni fair ku-declare mziki unaochezwa sehemu ndogo tu za mkoa mmoja kuwa ni wa taifa? Mziki ambao wengi hawakubali na hawataki kabisa kuusikia. Kwa nini umma usipewa nafasi ya kuamua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…