Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ujingaSipendi singeli ziko kipaskuna sana
Sicheki na yoyote nautuliza wangu moyo...Mweh kumbe???
Umejuaje lakini??🤔😏😐
Batswana wanajitambulisha kwa muziki na uvaaji wao...
Hata sisi twende na singeli ya asili achana na akina Dula
View: https://youtu.be/XPr1fdCWglA?si=oQ6kZnW1PKdMEBBT
Wajinga hawa. Wanapapasapapasa kila kitu bila kuwa na plan maalum.We kijana Mkubwa akishasema ndio Imeisha hiyo, Mnatakiwa kutekeleza tu, unaikumbuka Achimenengule?
Singeli Haina hadhi ya kuitwa muziki Bali NGOMA za kienyeji za kizaramo. Hivi haya maongezi yanayoitwa singeli yanaweza kudokilizwa nje ya Tanzania au kutoboa kimataifa?View attachment 3241007
Waziri amekengeuka. Wametumia kigezo gani kuifanya singeli ndiyo alama ya Taifa?
Muziki wenyewe umejaa matusi nafuu ingekuwa taarab kwa kuwa yenyewe ina mfumbo. Singeli huwezi kusikiliza na watu unaowaheshimu kama wazazi au watoto, abadan.
Pili ukikuta muziki wenyewe unavyochezwa, ni mtindo wa kukosa maadili tu. Wanawake wanavaa madera mostly bila chupi, halafu wanakamata ardhi then makalio yanakuwa juu ndiyo wanaanza kuyatikisa
Kuna wimbo wa Dulla Makabila una mstari ufuatao "nakupenda wewe na huyo bwanako" ndio uwapelekee duniani utawaeleza maana yake nini? Ujinga mtupu.
Wadau wa muziki mshaurini Waziri Kabudi asitishe UCHAFU huu
Nyingine hii hapa;-Show zao wanakalia chupa wanaingiza mpk mndknnn
Ova
Nyingine hii hapa tena siyo ya ukumbini bali ya mtaani:-Ngoja siku binti au ndg yake wa kike aende kwenye mziki huoo
Lzm atapigw mtungooo
Ova
Mnanda ndiyo wasela ogBora Tuchague mganda kama utambulisho wa Taifa kuliko Singeli🤣🤣
Kiswahili hakikuwa kwa Tanzania nzima bali kilisambaa kwa mfumo wa elimu na uelimishaji kuhusu umuhimu wake.Singeli inajulikana mikoa mingapi? Hili jambo sidhani ni la viongozi kupanga. Waachie wananchi waamue. Kinachofanya Tanzania iwe na ugumu wa kuwa na mziki au vazi la taifa ni kuwa makabila yapo mengi sana hivyo kuja na kitu common itakuwa ngumu.
Basi na hiyo singeli iachwe isambae, kama inapendeka. Wewe unaona ni fair ku-declare mziki unaochezwa sehemu ndogo tu za mkoa mmoja kuwa ni wa taifa? Mziki ambao wengi hawakubali na hawataki kabisa kuusikia. Kwa nini umma usipewa nafasi ya kuamua?Kiswahili hakikuwa kwa Tanzania nzima bali kilisambaa kwa mfumo wa elimu na uelimishaji kuhusu umuhimu wake.
Congo wana aina nyingi ya muziki ila uliopitishwa wakaupambania hadi umekuwa utambulisho wao.