Hata mm pia ni ndugu yenuUr welcam ndugu yako niko hapa[emoji111]
[emoji23] [emoji24] Haya fursa jitambulishe kwa new membr upate mema ya nchiHata mm pia ni ndugu yenu
naonaga aibu kuongea mbele za watu tatzo[emoji23] [emoji24] Haya fursa jitambulishe kwa new membr upate mema ya nchi
Hahaaa gonga ugongweeenagonga mlango mkuu hii heading inautata mpka kesho yan dadeq
Lydiah tugongane bacHahaaa gonga ugongweee
[emoji85] [emoji125] Wewe ni Ke au Menaonaga aibu kuongea mbele za watu tatzo
mm ni ME nitapata tu ataekubaliana na aibu zangu[emoji85] [emoji125] Wewe ni Ke au Me
Km Me utakua na mwenza kweli kwa hio aibu
Nimefurahi sana kukutana na ndugu humu ndani.. tupo pamoja ndugu MsomaliUr welcam ndugu yako niko hapa[emoji111]
Pamoja masterKaribu jf home for great thinkers
Hapana mkuu.. am guestHuyu Ni mwenyeji Na aliaga hapa majuma machache yaliyopita!! Kama niko wrong nirekebishwe!
Ila Arabic girl leo umetujia kivingine!!
Asante sana MagrandKaribu sana JF mjukuu wetu.....
Eti eehe mkuu..!nagonga mlango mkuu hii heading inautata mpka kesho yan dadeq
Karibu sanaHabari za mda huu wakuu... mimi ni MEMBER MPYA, hivyo nachukuwa fursa hii kupiga hodi humu ndani..
Siku nyingi nilikuwa mtu wa kuperuzi tu thread za watu mbalimbali, So nashukuru leo hii kuwa JF mtandao wa wajanja.
Naomba mnikaribishe Tafadhari
Sante elmonyKaribu sana
Kwa nyundo au kwann?Lydiah tugongane bac
Huyo aliye kukaribisha wa KWANZA ndie BABU wa JF...[emoji23] [emoji23]Karibu jf