Nagonga mlango wakuu...

Nagonga mlango wakuu...

Huyo aliye kukaribisha wa KWANZA ndie BABU wa JF...[emoji23] [emoji23]

Mr USHIMEN/BUSHIMEN...
Duhhh......[emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
karibu ila nimekuona macho yako yapo chini chini sana, kuwa muuangalifu, wote umesema ahsante ila kwa miss chaga umetaja mpaka jina jiangalie Bro
 
Back
Top Bottom