Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko dodoma
Sofa watu 8 Sh. 680k
Subwoofer 120k speaker 3 base ya 4
Showcase 280k
NB: vitu vyote vina miezi miwili tu
Watsap 0715140001
Chukua 80k hiyo subwooferNiko dodoma
Sofa watu 8 Sh. 680k
Subwoofer 120k speaker 3 base ya 4
Showcase 280k
NB: vitu vyote vina miezi miwili tu
Watsap 0715140001
Chukua 80k hiyo subwoofer
Kifaa cha electronics chochote ukitumia hata siku moja lazima kidepreciate mzeeDepreciation ya miez miwili hiyo[emoji28]
Kwa mujibu wa hizo picha nyingi ulizoziweka hapa JF,Naona Hilo sofa la watu watatu limetoboka hapo sehemu ya kuegemea, subwoofer nayo Kuna sehemu imepasuka,showcase naona iko poa.
Kifaa cha electronics chochote ukitumia hata siku moja lazima kidepreciate mzee
Daah hakuna kitu kilicho kwny hali unayosema ww........njoo uoneKwa mujibu wa hizo picha nyingi ulizoziweka hapa JF,Naona Hilo sofa la watu watatu limetoboka hapo sehemu ya kuegemea, subwoofer nayo Kuna sehemu imepasuka,showcase naona iko poa.
Maana yangu ilikua Ni uweke picha mkuu. Biashara njemaDaah hakuna kitu kilicho kwny hali unayosema ww........njoo uone
Mkuu nimeamua kuhama dodoma wahuni wasije kuniua..narudi kijijini musoma.Hpolepole kwel umeamua mwenezi kuhama dodoma? Jamn hapa si KWA mwenezi hapa mmepasahau
Umeulizwa tv huuzi?Karibuni wadau
Mkuu nakuombea MUNGU Upate wateja haraka uondoke maana hawana roho za kibinadamu kabsa,,, Sasa Ile KY Gelly pale ndani ilikuwa yako au wahuni waliacha ujumbe KWA njia ya vitendoMkuu nimeamua kuhama dodoma wahuni wasije kuniua..narudi kijijini musoma.
Haikuwa yangu ile KY jelly..sina huu ufirahuni..Mkuu nakuombea MUNGU Upate wateja haraka uondoke maana hawana roho za kibinadamu kabsa,,, Sasa Ile KY Gelly pale ndani ilikuwa yako au wahuni waliacha ujumbe KWA njia ya vitendo
Haikuwa yangu ile KY jelly..sina huu ufirahuni..
Ni wahuni tu walikuja na njia zao za kihuni kuninyamazisha..lakini narudi Musoma kwa wazee kujipanga upya then nitarudi mjini kupambana tena na hawa wahuni wanaotaka kula keki ya taifa hili wenyewe hadi wavimbiwe..#Kataa Wahuni.
[/QUOku
Wahuni ndani ya chama pia wapo..wameninyanganya Vietee langu licha ya kuwa nimekitumikia chama kwa uadilifu mkubwa na bado naendelea ila kuna kambi ndani ya chama zinataka nifutiliwe mbali chamani..Hivi kwenye Utumishi wako hukupata kavi8