Nahama, nauza vitu vya ndani

Wahuni ndani ya chama pia wapo..wameninyanganya Vietee langu licha ya kuwa nimekitumikia chama kwa uadilifu mkubwa na bado naendelea ila kuna kambi ndani ya chama zinataka nifutiliwe mbali chamani..
Pole,mshahara wa dhqmbi ni mauti...hivi nini kilikubadilishaa kutoka Mwanademokrasia hadi kimtetea Dictator muuaji Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…