Nahamia Nairobi


nikizungumza kiswahili changu cha kibongo ndio watanote mapema kuwa mimi ni mjanja na wala sio kama nyinyi mnaobaka kuku na kondoo,halafu wewe MK254 mi sichukui vijakazi mi nachukua macelebrity wenu watu wenye hela zao ndio nawachukua halafu wananihonga hela,nilisema nitaanza na julie gichuru halafu huddah monroe
 
Last edited by a moderator:
Hahaha ww falcon mombasa kuja nai upate uhondo.....Kama hauna pesa hautawai get laid hapa juu hehehe nakuonea huruma sana....... Hebu ambia huyo mtoto wako ajifunze sheng'

Hata umpeleke international skul atapata sheng' A bado hehe

sheng hata mimi nazungumza kisawasawa,hao mademu wanachukua hela kwenu,wakituona sisi wabongo akili zinawaruka hadi wanatuhonga pesa mlizowapa,by the way mi nataka dadako najua heshima itapatikana hadi humu jamiiforums
 
Last edited by a moderator:

mkuu kenya washamba ni wengi sana,mi napelekea wateja zangu pale eastleigh tunafanya biashara ya viungo kisha wananipa mabint zao wakisomali
 

falcon mombasa Hehehe!! najaribu kukushauri, hapa sio mchezo, ukibainika wewe Mbongo kwa lafudhi yako, kitu cha kwanza huwajia akilini mademu wetu, kwamba wewe ni mvivu, mwoga, mlaji wa albino, na omba omba.
Labda utumie lafudhi za Kichagga hivi ndio watakuona tofauti kiaina na wa maana.
 
Last edited by a moderator:

tayari kuna shemej yako yuko wastland ni muethiopia mkenya,nataka nikamate soko la eastleigh lote kwa upande wa spices iwe kwa kuhonga pesa au hata kibabe sitataka kuona dealer wa spices zaid yangu, MK254 mi hata dada yako nikimpata ndio nitamuoa kabisa ili heshma irudi bongo tena lazma anizalie mtoto mmoja
 
Last edited by a moderator:
Usilete utanzania Nairobi. na tena uchunge wasichana wa humu nai, Kama huelewi lugha ya mtaa maisha yako nai itakua ngumu maana ukizingumza kiswahili cha bongo humu utaonekana mshamba,Nai sio mambasa
 
Usilete utanzania Nairobi. na tena uchunge wasichana wa humu nai, Kama huelewi lugha ya mtaa maisha yako nai itakua ngumu maana ujizingumza kiswahili cha bongo humu utaonekana mshamba,Nai sio mambasa

usijali hata kuku wenu sina time nao,mbona mademu wa nairobi wao wenyewe hunipenda hata wakija mombasa niwaramba tu.kama vp niozeshe dadako sio mbaya
 
usijali hata kuku wenu sina time nao,mbona mademu wa nairobi wao wenyewe hunipenda hata wakija mombasa niwaramba tu.kama vp niozeshe dadako sio mbaya

Dadangu huezani,haya endelea kuota maana najua hizo ni ndoto,lakini nai huezani maana nmeona wewe ni mtu wa majivuno lakini najua ukifika nai utapunguza kwa sababu utapata wengine wanoma
 
Dadangu huezani,haya endelea kuota maana najua hizo ni ndoto,lakini nai huezani maana nmeona wewe ni mtu wa majivuno lakini najua ukifika nai utapunguza kwa sababu utapata wengine wanoma

chunga nisikutane nae lazima nimpe mimba
 
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubt, while stupid ones are full of confidence.
 
mi ni kipenz cha mademu wa mombasa mkuu. lakin sasa nataka nipendwe na mademu wa nairobi.si unajua mi ndo kipenz cha walimbwende mwenye bahati ya mtende
Chunga na Nairobi ni hatari yani kila mtu mbiombio ukicheza unakosa usingizi,chakula,hata malazi.Unahitaji kuchangamka Nairobi si kama huku kwetu Msa
 
sheng hata mimi nazungumza kisawasawa,hao mademu wanachukua hela kwenu,wakituona sisi wabongo akili zinawaruka hadi wanatuhonga pesa mlizowapa,by the way mi nataka dadako najua heshima itapatikana hadi humu jamiiforums

Hehehe ww na madada nn mbaya dadangu mdogo wako ako 4th yrs TUM mombasa hehe
 
depot??viungo vya pilau vinahitaji depot au chumba???ina maana unaweza kujaza ghala zima viungo vya pilau?r u sole distributor wa hivyo viungo?
 

Wacha akam nai apate dry spell ndo atatambua sikuuaize
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…