Nahamia Nairobi

Nahamia Nairobi

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,189
Reaction score
9,299
Wakuu kutokana na shughuli zangu za kibiashara sasa nimeona ni vema nikiamia nairobi kufungua depot hapo hii ni baada ya Mombasa kuiweka kiganjani.

Ikumbukwe nilisomea human resource na diplomasia lakini nimechagua kuwa mfanyabiashara, mimi ni dealer muuzaji/dalali/mkulima wa viungo vyote vya chakula haswa hiriki na karafuu zaidi katika Mombasa yote hadi Malindi na Lamu.

Hivyo watu wa Nairobi mnipokee kijana wenu. Sina familia japo nina kabinti nilimzalisha dada wa kiarabu hivyo kutokana kuwa dini tofauti nimeacha binti yangu afike miaka saba ndio nimpeleke bongo kwa bibi/nyanya yake.

Hivyo almost naishi peke yangu, mnielekeze pahali nitaweza kupata appartment kwenye usalama bila usumbufu pia pawe karibu na dada zetu wale wauzaji (ujana maji ya moto).

Mwambieni huddah ajiandae nakuja nai MK254 sam999 NairobiWalker Hoodla Iconoclastes
 
Hehehe hebu fika nairobi asap nataka kuja kuchoma duka lako asap

Unahamia api?
 
unajua falcon lilikuwa ndio eneo la kwanza kabisa kuishi nilipokuja mombasa sam999 nitakuja kukufundisha ujanja wa bongo
 
Last edited by a moderator:
Wekijana chapa kazi ila hivyo vimanzi kaanavyo mbari nduguyangu utakuja tz una kipisi, halafu vp nilikwambia tar 20 tutakuwa mombasa mbona unanikimbia nduguyangu nataka nikifika hapo nikutafute paletu nimalizapo shughuri pendekezwa, unatarajia lin kuondoka
 
Wekijana chapa kazi ila hivyo vimanzi kaanavyo mbari nduguyangu utakuja tz una kipisi, halafu vp nilikwambia tar 20 tutakuwa mombasa mbona unanikimbia nduguyangu nataka nikifika hapo nikutafute paletu nimalizapo shughuri pendekezwa, unatarajia lin kuondoka
kumbe yuwaja serious???? usijali we will figure it out brother
 
Hehehe sasa itakuwa falcon mombasa kibera nairobi
AU falcon mombasa muthaiga nairobi???

falcon mombasa
 
Last edited by a moderator:
Ww ni alshabaab hakukimbii anakuhepa
Kwajinsi serikali ya kenya inavyo waogopa alshbb nisingelipata vibali vya kuwapo kenya ila wamefanya uchunguzi wao bila ya shaka wamekubari na tar 18 nipo VOI tar 20-23 MOMBASA na mwisho ni tar 24 LAMU
 
Hehehe ww uaije kenya naona utasababisha vifo toka airport hadi masjid unayoenda ww na FaizaFoxy kaeni TZ tu
Hizo nichuki zako tu, na nibahati mbaya kenya tuliomba siku 14 tumepewa siku 6 pekee tena miji 3tu ungeniona hapo kibera kwenu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom