Nahamia Nairobi

Nahamia Nairobi

Kumbe nilisahau kukupa mrejesho, kitu kimetulia mwake. Sasa umemwachia nani huko, me nilijua unarudi naye mombasa?!

nimerudi nae,anakaa wastlands nairobi,vp nikija nae bongo mademu wa zamani wasije kuniwekea limbwata
 
By the way NairobiWalker Wahaya, Wasukuma na Wanyambo have a lot in common with Luhyas. Even language, there are places you'll hear words such "Mirembe" "Omwana wanje" etc

hayo makabila wanapenda sana ngono,tofauti na waluhya wanapenda uchawi
 
Last edited by a moderator:
Is Rose Muhando and her friend one of those? The name Muhando is also very popular among the Luhya and I once listened to a song they did in their mother tongue and it was 100% Luhya.

Yeah! have heard that name a lot from those places, most use Mhando instead of Muhando.
 
Wewe na misifa ya ngono, mademu unapenda ila labda utakuta ni jamaa hoi ukipewa demu.
Utafiti ushabaini wanaume wale hupenda kuongea mambo ya ngono sana huwa na mapungufu kwenye hiyo taaluma na wanaongea ili kujifariji.


kweli kabisaa
 
mombasa nakaa appartment ya 10000ksh kwa mwezi,nafikir nikipata ya size hiyo itakuwa fiti sana

This house is extremely cheap budah hata nakuru ni expensive kuliko hii boss

Baki mombasa ujipange kwanza hehe
 
This house is extremely cheap budah hata nakuru ni expensive kuliko hii boss

Baki mombasa ujipange kwanza hehe

sio house,ni room na bafu tena gorofa ya tano budah sam999
 
Last edited by a moderator:
Donholm ni mostly middle class wale walio toka masters ama newly employed driving subarus and premios type ma party kila block kila usiku

hapo donie kuna shemej yako wa kisomali alikuwa ananipaga rasa akiwa mombasa
 
10,000Kshs kwa mwezi is all you can afford kama rent hapo Mambasa, and all this talk.
Do you have a freaking idea how much I pay for rent hapa Kasarani.
Nyumba ya 10,000 labda utafutiwe ghetto ama babysitter. Hebu angalia hii picha uone mahali unaweza ishi na hiyo 10,000 kwa mfano hapa Kasarani.

houses.jpg

MK254 mimi sina family,almost nakaa pekee yangu katika room pamoja na bafu tena gorofani,naweza kulipa hiyo hata kwa hesabu ya siku tatu ya matatu yangu..mi napenda kukaa doniie (donholm)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom