figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Rock city peoplez nitawamiss sana i will miss home sweet home..........
mupenzi Slave kwa ajili yako nitafanya namna nihame nirudi nyumbani naamini Baba V atanisaidia kwa hili, shostito wa ukwee charminglady na Beiby Nasty nitawamiss mbaya, kabla sijaondoka naomba tuonane tafadhali, Nicas Mtei nitafurahi kukuona pia....!!!!
Wanajf wa Singida natarajia kuwa kuwa mgeni wenu wa kudumu kwa muda usiojulikana kuanzia ijumaa tarehe 8 march, naomba kuwa na mwenyeji mitaa hiyo,nitafurahi kuonana na kuwa na nyie!!!!
Weekend njema!!!
Hapo sawa...! Baba V mdaku kwani? Teacher...kumbe huku chitchat ushaolewaGA?hahaaule ni udaku tu wa Baba V
Hapo sawa...! Baba V mdaku kwani? Teacher...kumbe huku chitchat ushaolewaGA?hahaa
sijaondoka rasmi ijumaa ntakuwa mwanza....nitafurahi kukuona!!!!
salamu za bibi zimefika....
Ijumaa mie sipo nakuwa hii weekend ,tutaonana singida mwaya
wish you good luck mamii ....pouwa!!!!!!!!
wish you good luck mamii ....
Karibu............
Utakuwa unakuja kunitembelea???
Ahsante sana....!!!!!!!!!!!
mmmh majaribu sasa haya na hivi sina pa kufikia teh!!!!!!!!
Usijali wala usiwe na hofu, mie roho yangu ni ya kijapan Evelyn Salt I promise utaishi vyema, kwa furaha na kila kitu ukitakacho utapata
....teh, usijejipatia jiko kirahisi rahisi hivi asee!!!!!!!!!
mapokezi yako motomoto hadi raha, niandalie chochote tu make hata sijui huko kuna nini!!!!!!!!
Ahante lawyer kumbe upo pande hizo???
nadhani we ndo utakuwa jirani angu....!!!!!!