Nahamia Singida....!!!!

Nahamia Singida....!!!!

karibu sana toto ya Slave. ntafurahi kukutana na wewe. mia
 
Last edited by a moderator:
Rock city peoplez nitawamiss sana i will miss home sweet home..........

mupenzi Slave kwa ajili yako nitafanya namna nihame nirudi nyumbani naamini Baba V atanisaidia kwa hili, shostito wa ukwee charminglady na Beiby Nasty nitawamiss mbaya, kabla sijaondoka naomba tuonane tafadhali, Nicas Mtei nitafurahi kukuona pia....!!!!

Wanajf wa Singida natarajia kuwa kuwa mgeni wenu wa kudumu kwa muda usiojulikana kuanzia ijumaa tarehe 8 march, naomba kuwa na mwenyeji mitaa hiyo,nitafurahi kuonana na kuwa na nyie!!!!

Weekend njema!!!

Kumbe kweli eenh?
 
Back
Top Bottom