Nahamia Singida....!!!!

Nahamia Singida....!!!!

akhuu! Unikome babu wewe. Mbona sijaamini majicho aisee, yaani kumpata Paw ni kama bahati ya kukanyaga kichwa cha kobe. He is everything in a beautiful package. Na staki kuwa ling'asti, niwe hivi hivi portable.

Hizi sifa hua wanawake wanakua nazo miisho ya miezi, tarehe za kati mnakua mabubu! Hata wewe!
 
Ukifika Singida usiache kwenda Singidani ukapunge upepo....
 
Aiseeee kumbe!
Uhakikishe unaanzisha singida wing!
Alaf usisahau kutumia naniliuuuuuuuuuuuu....................................................

ha ha ha nshampata mwenyeji wa kunirahisishia maisha....!!!!!!
 
Back
Top Bottom