Nahisi ananiogopa hadi tunashindwa kuwa "romantic"

Nahisi ananiogopa hadi tunashindwa kuwa "romantic"

Embu punguzaga huo userious nawewe na uanze kua na kauromantic walau kidogo..khaa
 
Sasa si uanze ww kuwa romantic [emoji23]naona ukianza ww na yeye atafuata,
kwa kweli mambo ya kuwa serious muda wote sio poah![emoji23]
Huwezi hata kuchomeka kautani [emoji4] hapana aisee.
Yeah mkuu umeongea kweli labda nikianza mimi yeye atafata itakuwaa anaogopa
 
Embu punguzaga huo userious nawewe na uanze kua na kauromantic walau kidogo..khaa
Kweli mkuu nahsi naitajika kuupunguza sasa userious ili nimuweke huru kuongea na kufanya chochote
 
Acha mapenzi ya kishule shule ya kuongea upuuz kwenye sm mpaka simu inachemka,itakuwa unamapungufu ya nguvu za kiume tu
 
Acha mapenzi ya kishule shule ya kuongea upuuz kwenye sm mpaka simu inachemka,itakuwa unamapungufu ya nguvu za kiume tu
Mkuu umeelewa umesoma vizur uzi na kuuelewa au umecomment tu baada ya kushtuka usingizini
 
Kuwa Romantic ndio kuwaje to yeye ....???

Naona wengi wanazungumzia humu,,,ni Natural au lazima u- act....??kama Muvi za Wafilipino....
 
Mpe ATM kadi atajibebisha vya kutosha na utafurahia kunyandua ila kwenye hiyo kadi kuwe na mzigo wa maana sio laki tano,sita au saba atakuona ndezi tu.
Mwambie hii ATM kadi ni kwa ajili ya matumizi yako madogo madogo.
 
Kuwa Romantic ndio kuwaje to yeye ....???

Naona wengi wanazungumzia humu,,,ni Natural au lazima u- act....??kama Muvi za Wafilipino....
Kunakujaga automatically ukimpenda mtu utajikuta unakuwa Ivo,sasa hujampenda unasubiri akupe tu hela ya kikoba usepe uromantic utatoka wapi🙄
 
Habari wakuu.

Naimani wote niwazima kabsa.

Iko hivi wakuu wiki ya 2 sasa inaenda niko na mahusiano na mwanamke mmoja yuko powa Sana huyu Dada nikatokea kumuelewa nilimuomba namba na yeye akachukua za kwangu tukaanza conversations vizuri tu.

Basi mambo yakaendelea nikaamua kumtongoza sasa mi nimtu ambae niko serious Sana anytime nakumbuka siku ambayo nilimtongoza huyu Dada nilikuwa nimekaanae lakini uwezi amini that time nilikiuwa namtongoza huyu Dada yaan alikuwa anahema Sana sasa nikamuuliza vip unatatizo gani akaniambia unajua we uko serious Sana yaan mbaka sijui hata nikujibu nini lakini kiukweli nilivutiwa na wewe toka siku ya kwanza na kiukweli nakupenda.

Basi tukaingia kwenye mahusiano lakini uwezi amini now ni wiki ya pili inaenda kuisha ghafra huyu Dada sina hisia nae mbaka nashangaa kwanini lakini naamini nikutokana na the way anavonichukulia ni mtu serious sasa huyu Dada hajawah kuwa romantic na wala kuongea vitu romantic vya mapenz hata vya faragha nikiwa mimi na yeye.

Sababu nahisi anaogopa Sana kuongea na kufanya hayo mambo sababu anajua mi nimtu mserious sana kwaiyo anaogopa ataanzia wapi na anaona nitamchukulia tofauti labda nitakuja muona analeta ujinga labda labda sjui nini sasa hii inapelekea hata akinipigia sm huwa tunaongea tu kawaida na mwisho hawezi tena kuvuka mpaka kuongea Sana vitu vya kimapenz nahsi anaogopa.

Sasa hii naona ndo inanipelekea mimi kumuona yuko normal Sana na mimi kupoteza feeling kwake yaan hisia zishapotea kabsa japokuwa nampenda ndio na ninamuhtaji.

Wakuu em nishaurini nifanye nini juu ya hili ili nirudishe feeling na kumpenda zaidi maana kunakoelekea naona kabsa ntakuja kuchukua uamuzi wa kumpotezea na sihitaji nifanye hivyo.

Karibuni wakuu na Polen kwa usumbufu.
B=P
 
Blaza hapo tatizo ni wewe, mwanamke hana shida yoyote na amekuambia tangu mwanzo tatzo lako upo serious sana na wewe unajua hilo sasa kwanini usibadirike..? Ukiendelea hvyo wanawake watakua wanakukimbia...
Mimi mwenzako nipo serious na kama mtu sijazoeana ndio kabisa sina time nae, ila the moment ninamtaka mwanamke huwa nabadirika nakuwa romantic hadi huwa hawaamini kama naweza kuwa romantic, nikiwa na mpenz wangu sura ya mbuzi naiweka pembeni kias kwamba mwanamke anakua huru na mimi anaweza hata kujamba mbele yangu 😂 kuna muda mnatakiwa muongee mambo ya kipuuzi tu ktk mahusiano maana mapenz 70% ni furaha. Ukiona mwanaume mpenz wako hakupi umbea ujue una kasoro wewe hujajiweka kuwa rafik na mpenz kwake (kawaida wanawake mtu wa kwanza kumpa umbea/siri ni mpenz wake)...
Badirika anza kuwa romantic
 
Back
Top Bottom