Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpelekee moto peleka motoMwenzenu nina binamu yangu mmoja hivi tunalingana umri kidogo na mimi ni mtu wa kuondoka na kurudi kisomo baada ya kumaliza chuo nilirudi
Baada ya kurudi hom nikapewa pande la kusimamia duka sio kubwa sana ila lina compose mahitaji yote muhimu kuanzia vitafunwa n.k
Sasa wakati nikiwa pale dukan binamu huyu lazima aje kununua Vitafunwa pale mara nyingi ananiomba nimuongezee nyongeza addition au anatabia mfano ananunua vitu vya elfu 1 anaongezea moja anasema nimlipie mimi kila siku ananambia hivo ananunua anajipngezea ananiangalia kwa tabasamu anasema moja nimejiongeza utanilipia huko[emoji3526]
Kijana sio kwamba nakudharau niwie sana radhi lkn inaonekana utakuwa ni mtoto wa form two B nakushauri kazana na shule achana na utoto.Mwenzenu nina binamu yangu mmoja hivi tunalingana umri kidogo na mimi ni mtu wa kuondoka na kurudi kisomo baada ya kumaliza chuo nilirudi
Si chai analeta na chakula anapeleka? Cuzo huyo buku zinapeleaga. Cuzo yuko close tu jamaa. Ila huko mbali sana.Duka utafilisi mteja anajiongezea nyongeza uko seriously kwenye hiyo biashara
HAHA HAHA DAAAH...Form 6 wako kitaa sasa,tutaona mengi
Sawa kabisa mkuuKwa huu uandishi wako ni Dhahiri kabisa kuwa bado u mchanga sana kiumri na kiakili
Sasa naomba nichukue tu fursa hii kukumbusha(labda umesahau au hujui) kuwa maandiko matakatifu yanakataza kabisa kuwepo kwa uhusiano wa kimapenzi baina ya ndugu lakini pia
Kisheria ni kosa la jinai kutoka kimapenzi na ndugu yako
Hivyo basi acha kufikiria mambo yasiyofaa kumwelekea huyo binamu yako,muoneshe msimamo thabiti muepeuke ili ujiepushie dhambi zisizo za lazima na majuto ya baadae ya kihisia.coz mambo mengi sana tunayoyafanya within the foolish age baade huwa yanatuumiza sana na kutupa maswali mengi ya kwa nini nilifanya vile au niliamua vile
All the best kijana.
Daaaaaa....mm kuna binamu yangu juzi karibia hii mara tatu tunapanga tunjunjane..na mtumia vipesa anachukua tuuuuu mwishon ananimbia nilikuwa nakupima uchafu wako we ata mama ako unaweza mla ujiheshimu kabisa tena ata bibi nimemwambia tabia zako chafu.....nimfanye nn huyu binamu.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app