Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

We mpelekee moto peleka moto
 
La saba mshamaliza pepa ee? Iko hivi bwaa mdogo wewe ndiye una hisia na huyo mtoto mwenzako afuu ilitakiwa sasa uwe unacheza mpira, unaimba kwaya ila wewe ushaanza kuwaza papucee za ndugu zako.
 
Ki
Mwenzenu nina binamu yangu mmoja hivi tunalingana umri kidogo na mimi ni mtu wa kuondoka na kurudi kisomo baada ya kumaliza chuo nilirudi
Kijana sio kwamba nakudharau niwie sana radhi lkn inaonekana utakuwa ni mtoto wa form two B nakushauri kazana na shule achana na utoto.
 
Naomba forum ya JF over 20 something. Nyuzi hizi skuizi very common
 
Binamu unagonga tu, sio ndugu. Mimi nimegonga binamu 3
 
Daaaaaa....mm kuna binamu yangu juzi karibia hii mara tatu tunapanga tunjunjane..na mtumia vipesa anachukua tuuuuu mwishon ananimbia nilikuwa nakupima uchafu wako we ata mama ako unaweza mla ujiheshimu kabisa tena ata bibi nimemwambia tabia zako chafu.....nimfanye nn huyu binamu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Sawa kabisa mkuu
 
Mfuate ukamgonge
 
Huo mchezo unaotaka kuanza hapo dukani na njaa zako za mbunye utalifilisi duka hilo hutaamini🤣 yani mama akija kustuka lazma akuvue udindo ukabebe zege mtaani!

Biashara na mapenzi ni kama cheche za battery na lorry la petroli😅 lilioanguka!
 
Kama hizi ndio akili za muuza duka, kuna kila dalili za kugeuka machinga...
 
Gegeda tu binamu kinyama cha hamu, mambo yanabaki ndani ya familia kwani shida nini bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…