Nahisi jamaa yangu anatoka na mwanafunzi, nimeshangaa sana

Nahisi jamaa yangu anatoka na mwanafunzi, nimeshangaa sana

Mwagito84

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
235
Reaction score
709
Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.

Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.

Mimi nimeoa ila wife na dogo wako mkoa mwingine ambako wife kaajiriwa huko. Kwakuwa jamaa hapajui nilipohamia ikabidi nimfuate. Akanielekeza alipo ila haikiwa kwake, fresh nikaenda nikampick jamaa ila hakuwa mwenyewe jamaa alikuwa na kabinti flani kama kadent ka form 5 au 6 hivi.

Sikutaka kujishughulisha kwani pia sikutaka kujua. Ila nilihisi kama ni kadem kake. Baada ya kufika home tukawa na story za hapa na pale akanipongeza kwa ujenzi akatalii vyumbani kuona jinsi mafundi walivyofanya yao.

Basi nikaandaa msosi tukapiga ile fresh kabisa. Kwangu sina umeme ndio niko mbioni kuunganishiwa sasa jamaa akaomba nikamuwekee charge nyumba ya jirani, nikafanya hivyo.

Kurudi nakuta wametoka sebuleni wako chumba cha wageni wanaongea. Daaa kama mtu mzima nikaona isiwe tabu nikatoka zangu nikaenda kwa jirani kula story. Walitumia kama masaa 3 wakiwa wamejifungia.

Hii imekaeje waungwana. Is this fair au ndio kukua kwa science na technolojia
 
Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.

Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.
Sasa KILICHOKUSHANGAZA nini hapo ndugu!!?[emoji849][emoji849]
 
Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.

Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.
Sasa what is not fair hapo!!!? Mwanafunzi wa kidato Cha 5 sio mtoto huyo Ni mtu mzima ana Akili zake anajielewa , kinachonishangaza hapo Nini !? Tena huyo rafik ako Ni mstaarabu Sana mpaka umewakuta chumban tayari kakuonesha heshima kidogo hapo , wengine wangekusuprise ungerudi kuchomeka chaji ungewakuta wananjunjana hapohapo kwa sebule yako..... Relax man !!!!

nyinyi ndio dizain ya watu wa Instagram wanaomponda mtoto wa kajala kudate ikiwa she is over 22 [emoji30][emoji849]
 
Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.

Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.
Form six leaver!!!!!
 
Hata hilo suala la charge ilikuwa ni namna tu ya kukutoa maskani watu wapate faragha.

Actually hizi mbinu hutumika kuwatoa watoto siyo mwenye nyumba yake.

Na ukizubaa hiyo nyumba yako itakuwa Guest house ya jamaa.

Jamaa siyo mstaarabu au alikuwa kalewa?
 
Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.

Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.

Mimi nimeoa ila wife na dogo wako mkoa mwingine ambako wife kaajiriwa huko. Kwakuwa jamaa hapajui nilipohamia ikabidi nimfuate. Akanielekeza alipo ila haikiwa kwake...fresh nikaenda nikampick jamaa ila hakuwa mwenyewe jamaa alikuwa na kabinti flani kama kadent ka form 5 au 6 hivi.

Sikutaka kujishughulisha kwani pia sikutaka kujua. Ila nilihisi kama ni kadem kake. Baada ya kufika home tukawa na story za hapa na pale akanipongeza kwa ujenzi akatalii vyumbani kuona jinsi mafundi walivyofanya yao.

Basi nikaandaa msosi tukapiga ile fresh kabisa. Kwangu sina umeme ndio niko mbioni kuunganishiwa sasa jamaa akaomba nikamuwekee charge nyumba ya jirani, nikafanya hivyo.

Kurudi nakuta wametoka sebuleni wako chumba cha wageni wanaongea. Daaa kama mtu mzima nikaona isiwe tabu nikatoka zangu nikaenda kwa jirani kula story. Walitumia kama masaa 3 wakiwa wamejifungia.

Hii imekaeje waungwana. Is this fair au ndio kukua kwa science na technolojia
Unatakiwa kulisaidia jesi la Mzee Siro!
 
Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.

Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.

Mimi nimeoa ila wife na dogo wako mkoa mwingine ambako wife kaajiriwa huko. Kwakuwa jamaa hapajui nilipohamia ikabidi nimfuate. Akanielekeza alipo ila haikiwa kwake...fresh nikaenda nikampick jamaa ila hakuwa mwenyewe jamaa alikuwa na kabinti flani kama kadent ka form 5 au 6 hivi.

Sikutaka kujishughulisha kwani pia sikutaka kujua. Ila nilihisi kama ni kadem kake. Baada ya kufika home tukawa na story za hapa na pale akanipongeza kwa ujenzi akatalii vyumbani kuona jinsi mafundi walivyofanya yao.

Basi nikaandaa msosi tukapiga ile fresh kabisa. Kwangu sina umeme ndio niko mbioni kuunganishiwa sasa jamaa akaomba nikamuwekee charge nyumba ya jirani, nikafanya hivyo.

Kurudi nakuta wametoka sebuleni wako chumba cha wageni wanaongea. Daaa kama mtu mzima nikaona isiwe tabu nikatoka zangu nikaenda kwa jirani kula story. Walitumia kama masaa 3 wakiwa wamejifungia.

Hii imekaeje waungwana. Is this fair au ndio kukua kwa science na technolojia
Ana hamu ya kunyea debe kwa miaka 30! Mwache, dunia itamfunza...
 
Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.

Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.

Mimi nimeoa ila wife na dogo wako mkoa mwingine ambako wife kaajiriwa huko. Kwakuwa jamaa hapajui nilipohamia ikabidi nimfuate. Akanielekeza alipo ila haikiwa kwake...fresh nikaenda nikampick jamaa ila hakuwa mwenyewe jamaa alikuwa na kabinti flani kama kadent ka form 5 au 6 hivi.

Sikutaka kujishughulisha kwani pia sikutaka kujua. Ila nilihisi kama ni kadem kake. Baada ya kufika home tukawa na story za hapa na pale akanipongeza kwa ujenzi akatalii vyumbani kuona jinsi mafundi walivyofanya yao.

Basi nikaandaa msosi tukapiga ile fresh kabisa. Kwangu sina umeme ndio niko mbioni kuunganishiwa sasa jamaa akaomba nikamuwekee charge nyumba ya jirani, nikafanya hivyo.

Kurudi nakuta wametoka sebuleni wako chumba cha wageni wanaongea. Daaa kama mtu mzima nikaona isiwe tabu nikatoka zangu nikaenda kwa jirani kula story. Walitumia kama masaa 3 wakiwa wamejifungia.

Hii imekaeje waungwana. Is this fair au ndio kukua kwa science na technolojia
Imekaa kama ilivyopangwa
 
Huyo jamaa yako na huyo mpenzi wake siyo wastaarabu kabisa.
niseme labda na mtoa mada huwa anafanya hivyo hivyo na yeye maana kama sio, lazima angewauliza kwa nini wamehama sebuleni na kwenda chumbani,,,hainiingii akilini rafiki tu hata kama awe mkora vipi afanye hivyo kama mtoa mada sio mkora.

tuwe tunajifunza kuwa na marafiki sahihi.
 
Back
Top Bottom