joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Unaweza ukakuta huyo mwanafunzi mwenyewe hashangai, kuna vitoto vina mitego kama ndani ya moyo wako hauna Mungu wa Yusuph lazima utavunja amri ya sita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mm namshangaa yeye kushangaa[emoji23]Sasa KILICHOKUSHANGAZA nini hapo ndugu!!?[emoji849][emoji849]
Enzi hizoooo nasoma form 6 yeye alikua 2nd year walikua wanakaa geto na mwenzie lol jumapili kwenda kanisani nikitoka church naenda geto kwake au outing day nazama geto kwao hapo anakua ashampiga exile mwenzie ujana bana! Hizo likizo sasa!!!Elezea basi!!
Vijana nimewaona wengi ila siwataki, mtu mzima dawa! Kwani hulijui hilo!? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]Matapeli wa mapenzi, mie mzee bana
We jamaa miyeyusho kishenziNakumbuka wakati naishi zangu gheto Mtoni kwa Azizi Ali, kipindi nakaribia kuchukua jiko, One day kuna rafiki yangu alikuja kunitembelea, jioni nilitoka kidogo kuna mtu nilikwenda kumcheki maeneo ya kwa Kabuma, nikakumbuka kuna kitu nilisahau halafu mchizi yuko gheto. Ile narudi kufika gheto jamaa yuko ndani na mlango umefungwa gonga sana eboo! Nikaona isiwe tabu nikamsubiria alipomaliza mambo yake na kunifungulia mlango kibinti cha watu kikatoka ndani na kuondoka nikamwambia mshkaji kama urafiki utakufa na ufe......nilimuuzia kwa lazima kitanda na godoro lake nikahama kabisa gheto na kuhamia kwengine! Hela aliyonipa nikaongezea na kununulia vifaa katika gheto jipya!!
Kitanda nilichopanga kukilalia na mke wangu ni haramu kwangu kukilalia mwingine kabla ya mke wangu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Muda mwingine bora kuwa miyeyusho kuliko kuwekeana mikosi!We jamaa miyeyusho kishenzi
Nimeshangaa sanaJamaa yako mzinguaji..
Nadhan nyie ndio wale ukiwa na geto.,ni lodge ya masela zako
Mwisho wa siku anakuachia mikosi ndani
Mwenye ntumba hajitambuiHata hilo suala la charge ilikuwa ni namna tu ya kukutoa maskani watu wapate faragha.
Actually hizi mbinu hutumika kuwatoa watoto siyo mwenye nyumba yake.
Na ukizubaa hiyo nyumba yako itakuwa Guest house ya jamaa.
Jamaa siyo mstaarabu au alikuwa kalewa?
[emoji23]Umenikimbusha mbaliiiiii...form 6 hiyoo na J wa SUA lol!!
Kwanza wewe ni "enabler", utaruhusu vipi uchafu huo ufanyike kwako. Kwanza, umeoa, rafiki yako kaoa, inabidi mheshimiane, maana ninyi watu wazima.Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.
Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.
Mimi nimeoa ila wife na dogo wako mkoa mwingine ambako wife kaajiriwa huko. Kwakuwa jamaa hapajui nilipohamia ikabidi nimfuate. Akanielekeza alipo ila haikiwa kwake, fresh nikaenda nikampick jamaa ila hakuwa mwenyewe jamaa alikuwa na kabinti flani kama kadent ka form 5 au 6 hivi.
Sikutaka kujishughulisha kwani pia sikutaka kujua. Ila nilihisi kama ni kadem kake. Baada ya kufika home tukawa na story za hapa na pale akanipongeza kwa ujenzi akatalii vyumbani kuona jinsi mafundi walivyofanya yao.
Basi nikaandaa msosi tukapiga ile fresh kabisa. Kwangu sina umeme ndio niko mbioni kuunganishiwa sasa jamaa akaomba nikamuwekee charge nyumba ya jirani, nikafanya hivyo.
Kurudi nakuta wametoka sebuleni wako chumba cha wageni wanaongea. Daaa kama mtu mzima nikaona isiwe tabu nikatoka zangu nikaenda kwa jirani kula story. Walitumia kama masaa 3 wakiwa wamejifungia.
Hii imekaeje waungwana. Is this fair au ndio kukua kwa science na technolojia
Kuna watu mna mioyo ya uvumilivu mno, ningekuwa mimi ningemwambia wazi wazi on the spot, kwamba "my friend,this is not a lodge" ningempa 20,000/= na kumwambia aende akatafute lodge huko!Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.
Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa ana wife na watoto 3.
Mimi nimeoa ila wife na dogo wako mkoa mwingine ambako wife kaajiriwa huko. Kwakuwa jamaa hapajui nilipohamia ikabidi nimfuate. Akanielekeza alipo ila haikiwa kwake, fresh nikaenda nikampick jamaa ila hakuwa mwenyewe jamaa alikuwa na kabinti flani kama kadent ka form 5 au 6 hivi.
Sikutaka kujishughulisha kwani pia sikutaka kujua. Ila nilihisi kama ni kadem kake. Baada ya kufika home tukawa na story za hapa na pale akanipongeza kwa ujenzi akatalii vyumbani kuona jinsi mafundi walivyofanya yao.
Basi nikaandaa msosi tukapiga ile fresh kabisa. Kwangu sina umeme ndio niko mbioni kuunganishiwa sasa jamaa akaomba nikamuwekee charge nyumba ya jirani, nikafanya hivyo.
Kurudi nakuta wametoka sebuleni wako chumba cha wageni wanaongea. Daaa kama mtu mzima nikaona isiwe tabu nikatoka zangu nikaenda kwa jirani kula story. Walitumia kama masaa 3 wakiwa wamejifungia.
Hii imekaeje waungwana. Is this fair au ndio kukua kwa science na technolojia