Colonel McCoy
JF-Expert Member
- Aug 15, 2023
- 305
- 584
Jamaa anaonekana yuko na interest kwa binti ndio maana nimemwambia atangulize msimamo binti ajue ni nani kwake na anachosimamia ni kipi.mahusiano gani hayo unayoongelea hapo??? hakuna mahusiano jamaa ajilie vyake apite hivi
Achana nae huyo binti. Kikawaida mtu hawezi mpost kaka yake kimahaba.Siwafahamu kwa kweli kwa sura, ila dada yake ndiye na mfahamu tuu na hanipi ushirikiano
Usiangalie nyuma achana naye itakusaidia na utaonyesha kuwa unamaanisha.Nimesha mbana sana , nimemuhoji mno anakadi ni kaka yake anapenda kufanya tuu hivyo, hata kuhusu mtoto nimemuhoji akasema ni wakaka yake pia. nikaamua kumpiga marufuku kumpost ila jana siku ya mwaka mpya karudia kosa wakuu
Sawa mkuuUsiangalie nyuma achana naye itakusaidia na utaonyesha kuwa unamaanisha.
SawaAchana nae huyo binti. Kikawaida mtu hawezi mpost kaka yake kimahaba.
Mweleze ukweli...
Sasa mpaka hapo hujagundua kwamba mpo wanaume wawili? Utakuja kukumbuka shuka alfajiri mkuu.Ni kweli mkuu
Wazee wa kuhukumu kwa machoWeka picha zao wakiwa pamoja na huyo mtoto nasi tutazame kwa jicho letu la hukumu.
hujakosea😂 kwani uongo au nimeshauri vibaya?
Hizi ni akili za usikuhujakosea
hizi zamchana kabisa maana nimaneno soft softHizi ni akili za usiku
Basi mwite kibabe mkae mahali kisha muambie wasiwasi wako na mwambie akufungulie chati zao kwa kumstukiza akikataa mwambie tunaachania hapa nakuapia muangalie machoni mda wote utatupa mrejesho hapaHatumii kileo mkuu
Mbinu ingine njoo inboxBasi mwite kibabe mkae mahali kisha muambie wasiwasi wako na mwambie akufungulie chati zao kwa kumstukiza akikataa mwambie tunaachania hapa nakuapia muangalie machoni mda wote utatupa mrejesho hapa
Hiyo imeenda!Huyu demu wangu ni mkimnya sana na muda mwingi hana time na mimi yupo busy na huyo kaka yake , wanaongea kimahaba sometime wakipigiana simu na wanajizima data kweli kweli
Pia ;:-
Sina uhakika kama kweli huyu mwanaume ni kaka yake ila wanafanana sana kwa sura hata ukiwaangalia huwezi kusema labda ni jamaa wa pembeni, ana mpost kila mara na anaandika maneno ya kimapenzi kwenye status
kila wakati anapost picha status wakiwa wametoka out pamoja na kaka yake ila cha kushangaza namuona na mtoto mdogo jinsia ya kike kama wa miaka mitatu hivi ndugu zangu
Nimepatwa na machale nimejaribu sana kumchunguza, anadai huyo ni kaka yake na mtoto ni wa kaka yake, na ukiangalia kwa makini wamefanana japo mtoto anafanana na yeye sana na anafanana pia na huyo mwanaume anaye sema ni kaka yake
Msimu huu wa mwaka mpya kampost tena wakiwa pamoja yeye na huyo anaye dai ni kaka yake wapo wamekamilika pamoja na binti yao mdogo, mbaya zaidi ameandika status i love you baby kaweka na wimbo wa mapenzi kabisa
Najiuliza sana
kama kweli ni kaka yake na anaigiza ,je kaka amekubali kufanyiwa huu mchezo mchafu na mdogo wake wa kuigiza ni wapenzi na ni mke na mume wenye katoto kadogo
Wakuu hii imekaaje maana sidhani kama hii siku ya leo huyu mwanamke ataimaliza salama