Nahisi kaka yake ndiye mpenzi wa demu wangu

Nahisi kaka yake ndiye mpenzi wa demu wangu

mahusiano gani hayo unayoongelea hapo??? hakuna mahusiano jamaa ajilie vyake apite hivi
Jamaa anaonekana yuko na interest kwa binti ndio maana nimemwambia atangulize msimamo binti ajue ni nani kwake na anachosimamia ni kipi.
 
Wewe ni mpenzi mtazamaji. Take control.
 
Nimesha mbana sana , nimemuhoji mno anakadi ni kaka yake anapenda kufanya tuu hivyo, hata kuhusu mtoto nimemuhoji akasema ni wakaka yake pia. nikaamua kumpiga marufuku kumpost ila jana siku ya mwaka mpya karudia kosa wakuu
Usiangalie nyuma achana naye itakusaidia na utaonyesha kuwa unamaanisha.
 
Endelea kufuatilia hadi tarehe 14feb utakuwa na majibu kamili
 
Ina maana hauna ndugu yeyote wa huyo mchumba wako ambaye unamfahamu ukamuuliza?

Au mchumba wa chuo I?
 
Basi mwite kibabe mkae mahali kisha muambie wasiwasi wako na mwambie akufungulie chati zao kwa kumstukiza akikataa mwambie tunaachania hapa nakuapia muangalie machoni mda wote utatupa mrejesho hapa
Mbinu ingine njoo inbox
 
Huyu demu wangu ni mkimnya sana na muda mwingi hana time na mimi yupo busy na huyo kaka yake , wanaongea kimahaba sometime wakipigiana simu na wanajizima data kweli kweli

Pia ;:-

Sina uhakika kama kweli huyu mwanaume ni kaka yake ila wanafanana sana kwa sura hata ukiwaangalia huwezi kusema labda ni jamaa wa pembeni, ana mpost kila mara na anaandika maneno ya kimapenzi kwenye status

kila wakati anapost picha status wakiwa wametoka out pamoja na kaka yake ila cha kushangaza namuona na mtoto mdogo jinsia ya kike kama wa miaka mitatu hivi ndugu zangu

Nimepatwa na machale nimejaribu sana kumchunguza, anadai huyo ni kaka yake na mtoto ni wa kaka yake, na ukiangalia kwa makini wamefanana japo mtoto anafanana na yeye sana na anafanana pia na huyo mwanaume anaye sema ni kaka yake

Msimu huu wa mwaka mpya kampost tena wakiwa pamoja yeye na huyo anaye dai ni kaka yake wapo wamekamilika pamoja na binti yao mdogo, mbaya zaidi ameandika status i love you baby kaweka na wimbo wa mapenzi kabisa

Najiuliza sana

kama kweli ni kaka yake na anaigiza ,je kaka amekubali kufanyiwa huu mchezo mchafu na mdogo wake wa kuigiza ni wapenzi na ni mke na mume wenye katoto kadogo

Wakuu hii imekaaje maana sidhani kama hii siku ya leo huyu mwanamke ataimaliza salama
Hiyo imeenda!
 
Back
Top Bottom