Colonel McCoy
JF-Expert Member
- Aug 15, 2023
- 305
- 584
Simama kama mwanaume kwenye mahusiano .
Mkalishe chini muhoji kwa kina ukitanguliza msimamo sio kucheka cheka.
Mkalishe chini muhoji kwa kina ukitanguliza msimamo sio kucheka cheka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una mashaka naye kiasi hicho si upige chini tu mapema mambo yasiwe mengi?Huyu demu wangu ni mkimnya sana na muda mwingi hana time na mimi yupo busy na huyo kaka yake , wanaongea kimahaba sometime wakipigiana simu na wanajizima data kweli kweli
Pia ;:-
Sina uhakika kama kweli huyu mwanaume ni kaka yake ila wanafanana sana kwa sura hata ukiwaangalia huwezi kusema labda ni jamaa wa pembeni, ana mpost kila mara na anaandika maneno ya kimapenzi kwenye status
kila wakati anapost picha status wakiwa wametoka out pamoja na kaka yake ila cha kushangaza namuona na mtoto mdogo jinsia ya kike kama wa miaka mitatu hivi ndugu zangu
Nimepatwa na machale nimejaribu sana kumchunguza, anadai huyo ni kaka yake na mtoto ni wa kaka yake, na ukiangalia kwa makini wamefanana japo mtoto anafanana na yeye sana na anafanana pia na huyo mwanaume anaye sema ni kaka yake
Msimu huu wa mwaka mpya kampost tena wakiwa pamoja yeye na huyo anaye dai ni kaka yake wapo wamekamilika pamoja na binti yao mdogo, mbaya zaidi ameandika status i love you baby kaweka na wimbo wa mapenzi kabisa
Najiuliza sana
kama kweli ni kaka yake na anaigiza ,je kaka amekubali kufanyiwa huu mchezo mchafu na mdogo wake wa kuigiza ni wapenzi na ni mke na mume wenye katoto kadogo
Wakuu hii imekaaje maana sidhani kama hii siku ya leo huyu mwanamke ataimaliza salama
Sawa la mamaSina neno mkuu
Nimesha mbana sana , nimemuhoji mno anakadi ni kaka yake anapenda kufanya tuu hivyo, hata kuhusu mtoto nimemuhoji akasema ni wakaka yake pia. nikaamua kumpiga marufuku kumpost ila jana siku ya mwaka mpya karudia kosa wakuuSimama kama mwanaume kwenye mahusiano .
Mkalishe chini muhoji kwa kina ukitanguliza msimamo sio kucheka cheka.
Weka picha zao wakiwa pamoja na huyo mtoto nasi tutazame kwa jicho letu la hukumu.Huyu demu wangu ni mkimnya sana na muda mwingi hana time na mimi yupo busy na huyo kaka yake , wanaongea kimahaba sometime wakipigiana simu na wanajizima data kweli kweli
Pia ;:-
Sina uhakika kama kweli huyu mwanaume ni kaka yake ila wanafanana sana kwa sura hata ukiwaangalia huwezi kusema labda ni jamaa wa pembeni, ana mpost kila mara na anaandika maneno ya kimapenzi kwenye status
kila wakati anapost picha status wakiwa wametoka out pamoja na kaka yake ila cha kushangaza namuona na mtoto mdogo jinsia ya kike kama wa miaka mitatu hivi ndugu zangu
Nimepatwa na machale nimejaribu sana kumchunguza, anadai huyo ni kaka yake na mtoto ni wa kaka yake, na ukiangalia kwa makini wamefanana japo mtoto anafanana na yeye sana na anafanana pia na huyo mwanaume anaye sema ni kaka yake
Msimu huu wa mwaka mpya kampost tena wakiwa pamoja yeye na huyo anaye dai ni kaka yake wapo wamekamilika pamoja na binti yao mdogo, mbaya zaidi ameandika status i love you baby kaweka na wimbo wa mapenzi kabisa
Najiuliza sana
kama kweli ni kaka yake na anaigiza ,je kaka amekubali kufanyiwa huu mchezo mchafu na mdogo wake wa kuigiza ni wapenzi na ni mke na mume wenye katoto kadogo
Wakuu hii imekaaje maana sidhani kama hii siku ya leo huyu mwanamke ataimaliza salama
Mkuu picha yao ya moja kwa moja ni ngumuWeka picha zao wakiwa pamoja na huyo mtoto nasi tutazame kwa jicho letu la hukumu.
Nimefanya juhudi ila nimeshindwa kumpata huyo mke wa kaka yake hali iliyopelekea kudhani demu wangu ndiye mke wa huyu kaka yakeMtafute mke wa kaka yake kama mpo mji mmoja..
Asante mkuuPole sana mkuu
good girl👍🏾Sina chochote kinachohusiana na Mshamba hachekwi mkuu
Daah mambo mengine yanachekesha SanaHuyu demu wangu ni mkimnya sana na muda mwingi hana time na mimi yupo busy na huyo kaka yake , wanaongea kimahaba sometime wakipigiana simu na wanajizima data kweli kweli
Pia ;:-
Sina uhakika kama kweli huyu mwanaume ni kaka yake ila wanafanana sana kwa sura hata ukiwaangalia huwezi kusema labda ni jamaa wa pembeni, ana mpost kila mara na anaandika maneno ya kimapenzi kwenye status
kila wakati anapost picha status wakiwa wametoka out pamoja na kaka yake ila cha kushangaza namuona na mtoto mdogo jinsia ya kike kama wa miaka mitatu hivi ndugu zangu
Nimepatwa na machale nimejaribu sana kumchunguza, anadai huyo ni kaka yake na mtoto ni wa kaka yake, na ukiangalia kwa makini wamefanana japo mtoto anafanana na yeye sana na anafanana pia na huyo mwanaume anaye sema ni kaka yake
Msimu huu wa mwaka mpya kampost tena wakiwa pamoja yeye na huyo anaye dai ni kaka yake wapo wamekamilika pamoja na binti yao mdogo, mbaya zaidi ameandika status i love you baby kaweka na wimbo wa mapenzi kabisa
Najiuliza sana
kama kweli ni kaka yake na anaigiza ,je kaka amekubali kufanyiwa huu mchezo mchafu na mdogo wake wa kuigiza ni wapenzi na ni mke na mume wenye katoto kadogo
Wakuu hii imekaaje maana sidhani kama hii siku ya leo huyu mwanamke ataimaliza salama
Fata huu ushauri ndugu yanguCha kukushauri mwambie unahitaji kukutana na uyo Kaka yake,akigoma Basi ujue sio kaka yake.
mahusiano gani hayo unayoongelea hapo??? hakuna mahusiano jamaa ajilie vyake apite hiviSimama kama mwanaume kwenye mahusiano .
Mkalishe chini muhoji kwa kina ukitanguliza msimamo sio kucheka cheka.