Nahisi kaka yake ndiye mpenzi wa demu wangu

Nahisi kaka yake ndiye mpenzi wa demu wangu

Huyu demu wangu ni mkimnya sana na muda mwingi hana time na mimi yupo busy na huyo kaka yake , wanaongea kimahaba sometime wakipigiana simu na wanajizima data kweli kweli

Pia ;:-

Sina uhakika kama kweli huyu mwanaume ni kaka yake ila wanafanana sana kwa sura hata ukiwaangalia huwezi kusema labda ni jamaa wa pembeni, ana mpost kila mara na anaandika maneno ya kimapenzi kwenye status

kila wakati anapost picha status wakiwa wametoka out pamoja na kaka yake ila cha kushangaza namuona na mtoto mdogo jinsia ya kike kama wa miaka mitatu hivi ndugu zangu

Nimepatwa na machale nimejaribu sana kumchunguza, anadai huyo ni kaka yake na mtoto ni wa kaka yake, na ukiangalia kwa makini wamefanana japo mtoto anafanana na yeye sana na anafanana pia na huyo mwanaume anaye sema ni kaka yake

Msimu huu wa mwaka mpya kampost tena wakiwa pamoja yeye na huyo anaye dai ni kaka yake wapo wamekamilika pamoja na binti yao mdogo, mbaya zaidi ameandika status i love you baby kaweka na wimbo wa mapenzi kabisa

Najiuliza sana

kama kweli ni kaka yake na anaigiza ,je kaka amekubali kufanyiwa huu mchezo mchafu na mdogo wake wa kuigiza ni wapenzi na ni mke na mume wenye katoto kadogo

Wakuu hii imekaaje maana sidhani kama hii siku ya leo huyu mwanamke ataimaliza salama
Kama una mashaka naye kiasi hicho si upige chini tu mapema mambo yasiwe mengi?
 
Simama kama mwanaume kwenye mahusiano .

Mkalishe chini muhoji kwa kina ukitanguliza msimamo sio kucheka cheka.
Nimesha mbana sana , nimemuhoji mno anakadi ni kaka yake anapenda kufanya tuu hivyo, hata kuhusu mtoto nimemuhoji akasema ni wakaka yake pia. nikaamua kumpiga marufuku kumpost ila jana siku ya mwaka mpya karudia kosa wakuu
 
Huyu demu wangu ni mkimnya sana na muda mwingi hana time na mimi yupo busy na huyo kaka yake , wanaongea kimahaba sometime wakipigiana simu na wanajizima data kweli kweli

Pia ;:-

Sina uhakika kama kweli huyu mwanaume ni kaka yake ila wanafanana sana kwa sura hata ukiwaangalia huwezi kusema labda ni jamaa wa pembeni, ana mpost kila mara na anaandika maneno ya kimapenzi kwenye status

kila wakati anapost picha status wakiwa wametoka out pamoja na kaka yake ila cha kushangaza namuona na mtoto mdogo jinsia ya kike kama wa miaka mitatu hivi ndugu zangu

Nimepatwa na machale nimejaribu sana kumchunguza, anadai huyo ni kaka yake na mtoto ni wa kaka yake, na ukiangalia kwa makini wamefanana japo mtoto anafanana na yeye sana na anafanana pia na huyo mwanaume anaye sema ni kaka yake

Msimu huu wa mwaka mpya kampost tena wakiwa pamoja yeye na huyo anaye dai ni kaka yake wapo wamekamilika pamoja na binti yao mdogo, mbaya zaidi ameandika status i love you baby kaweka na wimbo wa mapenzi kabisa

Najiuliza sana

kama kweli ni kaka yake na anaigiza ,je kaka amekubali kufanyiwa huu mchezo mchafu na mdogo wake wa kuigiza ni wapenzi na ni mke na mume wenye katoto kadogo

Wakuu hii imekaaje maana sidhani kama hii siku ya leo huyu mwanamke ataimaliza salama
Weka picha zao wakiwa pamoja na huyo mtoto nasi tutazame kwa jicho letu la hukumu.
 
Weka picha zao wakiwa pamoja na huyo mtoto nasi tutazame kwa jicho letu la hukumu.
Mkuu picha yao ya moja kwa moja ni ngumu

Wewe zingatia hii picha ya maandishi

Demu wangu anafanana na huyo mwanaume kiasi cha hauwezi kukataa, ila mtoto kafanana sana na demu wangu na pia kafanana na huyu mwanaume pia

Shida ni kwamba ka kweli ni kaka yake kwanini waigize mapenzi na waigize ni mke na mume. Nitajuaje kama waigiza au ni kweli na kwanini ni mkataze demu wangu kuwa sitaki huu mchezo ila bado anarudia hataki kuacha?
 
Nnnachojua mabinti wengi huwa na mahaba Sana na Kaka zao, Ila uwa sio mahaba ya kimapenzi japo viashiria vinaweza kua vya kimapenzi
 
Huyu demu wangu ni mkimnya sana na muda mwingi hana time na mimi yupo busy na huyo kaka yake , wanaongea kimahaba sometime wakipigiana simu na wanajizima data kweli kweli

Pia ;:-

Sina uhakika kama kweli huyu mwanaume ni kaka yake ila wanafanana sana kwa sura hata ukiwaangalia huwezi kusema labda ni jamaa wa pembeni, ana mpost kila mara na anaandika maneno ya kimapenzi kwenye status

kila wakati anapost picha status wakiwa wametoka out pamoja na kaka yake ila cha kushangaza namuona na mtoto mdogo jinsia ya kike kama wa miaka mitatu hivi ndugu zangu

Nimepatwa na machale nimejaribu sana kumchunguza, anadai huyo ni kaka yake na mtoto ni wa kaka yake, na ukiangalia kwa makini wamefanana japo mtoto anafanana na yeye sana na anafanana pia na huyo mwanaume anaye sema ni kaka yake

Msimu huu wa mwaka mpya kampost tena wakiwa pamoja yeye na huyo anaye dai ni kaka yake wapo wamekamilika pamoja na binti yao mdogo, mbaya zaidi ameandika status i love you baby kaweka na wimbo wa mapenzi kabisa

Najiuliza sana

kama kweli ni kaka yake na anaigiza ,je kaka amekubali kufanyiwa huu mchezo mchafu na mdogo wake wa kuigiza ni wapenzi na ni mke na mume wenye katoto kadogo

Wakuu hii imekaaje maana sidhani kama hii siku ya leo huyu mwanamke ataimaliza salama
Daah mambo mengine yanachekesha Sana

Kama anavyosema ndugu yangu rikiboy "Hawa wanawake huwa mnawatoa wapi?"
 
Back
Top Bottom