Nahisi kama nimepigwa Aliexpress

Nahisi kama nimepigwa Aliexpress

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Wakuu, Nilinunua charger simu na cover la simu kutoka aliexpress, covers zinaonyesha zipo nchini tayari, lakini charger inaonyesha delivery wakati mimi wala sijaipokea, nimechat na muuzaji kanambia nicheck labda kuna ndugu amesign na kuchukua kwa ajili yangu wakati hakuna kitu kama hicho.

Nilikuwa natumia ebay sijawahi kukutana na changamoto yoyote, mizigo ilikuwa inafika posta napigiwa simu nachukua.

Kwa aliexpress hii ni mara ya kwanza kutumia, tafadhali anayejua nini cha kufanya katika issue kama hii aniambie.
_____________________
updates:
Wakuu, nimepokea charger yangu Supervooc 80w, iko bomba sana na sasa nitachaji simu yangu ya Oppo reno 11 pro kwa amani make hii ndo recommanded charger, na nimeona utofauti mkubwa mno. Asanteni.

Screenshot_2024-08-24-08-58-30-79_57e717c094f371a1dada6567a1123b99.jpg
Screenshot_2024-08-24-08-58-04-86_57e717c094f371a1dada6567a1123b99.jpg
Screenshot_2024-08-24-08-57-44-35_57e717c094f371a1dada6567a1123b99.jpg
 
Nilimpigiwa simu na mawakala wa speedaf ila nilikua mbal, sikupokea simu Yao, hawakunitafuta tena na mzigo Hadi Leo umepotea, speedaf niwaizi na matapeli Bora walivyokua wanaipeleka posta, kwasasa situmii tena AliExpress kwasababu ya hawa matapeli speedaf, kwasasa nitarud eBay
 
Mzigo kama umetumia njia ya speedup wanamawakala wake ambapo ukifika tu kwa wakala unaokuwa delivered ww unatakiwa umtafute wakala wa sehemu ulipo ukauchukue
Kwenye information inaonyesha ni AliExpress standard shipping, afu wakaweka contact courier namba za simu mbili ambazo ziko busy muda wote, namba mojawapo nikipiga inaleta jina Kapinga House (KP House)
 
Mkuu, mchakato wa AliExpress uko tofauti kidogo. Taarifa juu ya usafirishaji wa mzigo wako mwisho wa kuona updates kwenye app ni pale ukishafika kwenye nchi yako (Hapo mzigo utakabidhiwa kwa kampuni nyingine inayohusika na usafirishaji) . Hapo huwa hawana taarifa na ndio maana hawawezi kukupa update kupita app ila mzigo wako utaupata, speed ya kuupata inategemea na iyo kampuni sasa, siku watakayokuwa wanakuletea mzigo wako ndo watakupigia simu. Or kama ulijaza anuani ya posta utajulishwa na Posta kama mzigo wako umefika kupitia namba uliyoandika. Sometimes mzigo unaweza kufika nchini hata wiki moja baada ya kuagiza alafu wewe ukaupata wiki tatu mbele, system ya delivery hapa bongo imekaa vibaya kidgo
Changamoto nyingine inayotokeaga ni namba uliyojaza kwenye app kama haipatikani or siku anayokuletea mzigo (kwa ambao wanaletewa kwenye address za makazi) hawakutaarifu mapema kama watakuletea mzigo wako sasa kama ulijaza anuani ya ofisini au chuoni akileta haupo hapo ndo ushajila kuupata ni usumbufu sana
 
Nilimpigiwa simu na mawakala wa speedaf ila nilikua mbal, sikupokea simu Yao, hawakunitafuta tena na mzigo Hadi Leo umepotea, speedaf niwaizi na matapeli Bora walivyokua wanaipeleka posta, kwasasa situmii tena AliExpress kwasababu ya hawa matapeli speedaf, kwasasa nitarud eBay
Ebay unatuma vipi mpaka bongo , courier gani unawatumia kukubebe mzigo wako?


Na je mzigo wako kama uko USA au UK unasafirisha vipi mpaka bongo... Asante
 
Ebay unatuma vipi mpaka bongo , courier gani unawatumia kukubebe mzigo wako?


Na je mzigo wako kama uko USA au UK unasafirisha vipi mpaka bongo... Asante
kwa uzoefu, nilichagua item nikailipia kwa paypal, mzigo ulisafirishwa toka US hadi germany na FedEx, then ukasafirishwa germany to bongo na DHL, Nikapigiwa simu posta nakachukua.
 
Wakuu, Nilinunua charger simu na cover la simu kutoka aliexpress, covers zinaonyesha zipo nchini tayari, lakini charger inaonyesha delivery wakati mimi wala sijaipokea, nimechat na muuzaji kanambia nicheck labda kuna ndugu amesign na kuchukua kwa ajili yangu wakati hakuna kitu kama hicho.

Nilikuwa natumia ebay sijawahi kukutana na changamoto yoyote, mizigo ilikuwa inafika posta napigiwa simu nachukua.

Kwa aliexpress hii ni mara ya kwanza kutumia, tafadhali anayejua nini cha kufanya katika issue kama hii aniambie.

View attachment 3077791View attachment 3077792View attachment 3077793
Hakuna ulichopigwa hapo subiri utapigiwa simu. Aliexpress huwezi poteza hata shilingi moja. Wewe ndo unajukumu la kuthibitisha umepokea mzigo na hakuna mtu mwingine
 
Nilimpigiwa simu na mawakala wa speedaf ila nilikua mbal, sikupokea simu Yao, hawakunitafuta tena na mzigo Hadi Leo umepotea, speedaf niwaizi na matapeli Bora walivyokua wanaipeleka posta, kwasasa situmii tena AliExpress kwasababu ya hawa matapeli speedaf, kwasasa nitarud eBay
Usi watishe AliExpress kutotumia STORE yao kwa oda kama hii.pia jifunze kitu kabla ya kufanya sawa.itakusaidia baadae.




All the best!!
 
kwa uzoefu, nilichagua item nikailipia kwa paypal, mzigo ulisafirishwa toka US hadi germany na FedEx, then ukasafirishwa germany to bongo na DHL, Nikapigiwa simu posta nakachukua.
Total weight yake ilikuwa ni ipi na gharama ya huo uzito mpaka bongo ilikuwa sh ngapi?
 
wakuu, wakati nikiendelea kufuatilia maoni yenu hapa kwa ajili ya msaada, nilipokea sms kwamba mzigo wangu umefika then nikaenda kuuchukua kwa wakala speedaf. nashukuru kwa maoni yenu na sasa nasubiri covers
 
kwa uzoefu, nilichagua item nikailipia kwa paypal, mzigo ulisafirishwa toka US hadi germany na FedEx, then ukasafirishwa germany to bongo na DHL, Nikapigiwa simu posta nakachukua.
Posta huwa wako slow inaweza pita muda mpaka kukupigia ila hujapigwa. mimi niliwahi safirisha from aliexpress vitu vinaonyesha vimefika ikapita hata mwezi ndo eti posta wananipgia nikachukue. hata shida navyo ilikuwa ishaisha sikwenda maana kwanza nilikuwa nimesafiri.
 
Back
Top Bottom