Nahisi kama nimepigwa Aliexpress

Nahisi kama nimepigwa Aliexpress

Nilimpigiwa simu na mawakala wa speedaf ila nilikua mbal, sikupokea simu Yao, hawakunitafuta tena na mzigo Hadi Leo umepotea, speedaf niwaizi na matapeli Bora walivyokua wanaipeleka posta, kwasasa situmii tena AliExpress kwasababu ya hawa matapeli speedaf, kwasasa nitarud eBay
Case yangu ni kama hii
 
Back
Top Bottom