Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah sijui lini nitaanza na mimi kuagiza vitu abroad natamani kweli aseeWakuu, Nilinunua charger simu na cover la simu kutoka aliexpress, covers zinaonyesha zipo nchini tayari, lakini charger inaonyesha delivery wakati mimi wala sijaipokea, nimechat na muuzaji kanambia nicheck labda kuna ndugu amesign na kuchukua kwa ajili yangu wakati hakuna kitu kama hicho.
Nilikuwa natumia ebay sijawahi kukutana na changamoto yoyote, mizigo ilikuwa inafika posta napigiwa simu nachukua.
Kwa aliexpress hii ni mara ya kwanza kutumia, tafadhali anayejua nini cha kufanya katika issue kama hii aniambie.
_____________________
updates:
Wakuu, nimepokea charger yangu Supervooc 80w, iko bomba sana na sasa nitachaji simu yangu ya Oppo reno 11 pro kwa amani make hii ndo recommanded charger, na nimeona utofauti mkubwa mno. Asanteni.
View attachment 3077791View attachment 3077792View attachment 3077793
Ni rahisi Anza na kitu cha Bei rahisi ujifunze hatua zake kwanzaDah sijui lini nitaanza na mimi kuagiza vitu abroad natamani kweli asee
Mkuu Process ulizifanyaje, ulipata wapi Adress ya Germany ulojaza.Manunuzi $84.95
shipping $19.95
Total $104.90
weight sikumbuki, ni airfryer oven 12L
Anza na AliExpress simple sana wewe tu mkuu.Dah sijui lini nitaanza na mimi kuagiza vitu abroad natamani kweli asee
Mkuu hiyo Airfryer ulonunia waweza tuma link ya uliponunua kama bado una details zake.kwa uzoefu, nilichagua item nikailipia kwa paypal, mzigo ulisafirishwa toka US hadi germany na FedEx, then ukasafirishwa germany to bongo na DHL, Nikapigiwa simu posta nakachukua.
Sure mkuu nitaanza nayo tena soon tuAnza na AliExpress simple sana wewe tu mkuu.
Kumbe ni affordableManunuzi $84.95
shipping $19.95
Total $104.90
weight sikumbuki, ni airfryer oven 12L
Mkuu, mimi nilinunua tu muuzaji ndo akatuma kwa namna hiyo, mzigo ulisafirishwa na FedEx kutoka Roosevelt, UT, US sehemu ambayo muuzaji alipo kwenda GLENDALE HEIGHTS, IL, US ambapo ndo hub center ya Ebay kule marekani. Baadae ukasafirishwa kwa FedEx kutoka GLENDALE HEIGHTS, IL, US kwenda Germany, kutoka Germany ukasafirishwa na DHL hadi bongo dar es salaam, na mwisho mzigo ukisafirishea hadi Babati, Manyara nami nikauchukulia Posta mjini Babati.Mkuu Process ulizifanyaje, ulipata wapi Adress ya Germany ulojaza.
Mkuu hiyo Airfryer ulonunia waweza tuma link ya uliponunua kama bado una details zake.
Bora ww unaona, wenzio hata taarifa hzo ni kama zilipotelea hewani. No records at all😂😂ndo ikawa mwsho wa storiWakuu, Nilinunua charger simu na cover la simu kutoka aliexpress, covers zinaonyesha zipo nchini tayari, lakini charger inaonyesha delivery wakati mimi wala sijaipokea, nimechat na muuzaji kanambia nicheck labda kuna ndugu amesign na kuchukua kwa ajili yangu wakati hakuna kitu kama hicho.
Nilikuwa natumia ebay sijawahi kukutana na changamoto yoyote, mizigo ilikuwa inafika posta napigiwa simu nachukua.
Kwa aliexpress hii ni mara ya kwanza kutumia, tafadhali anayejua nini cha kufanya katika issue kama hii aniambie.
_____________________
updates:
Wakuu, nimepokea charger yangu Supervooc 80w, iko bomba sana na sasa nitachaji simu yangu ya Oppo reno 11 pro kwa amani make hii ndo recommanded charger, na nimeona utofauti mkubwa mno. Asanteni.
View attachment 3077791View attachment 3077792View attachment 3077793
Mkuu hembu tupe elimu ya kufanya manunuzi huko ebay..najua mambo saiv yatakua yamerahisishwa sana![]()
Blazant Toaster Oven Air Fryer Combo 20QT/19L Air Fryers Oven, 16-in-1 T12 | eBay
BLAZANT is derived from the word BLAZE. Office Kitchen. Being your all-around kitchen assistant.www.ebay.com
link hiyo hapo, ila naona jamaa kapandisha gharama za shipping
naona bidhaa iko “out of stock"![]()
Blazant Toaster Oven Air Fryer Combo 20QT/19L Air Fryers Oven, 16-in-1 T12 | eBay
BLAZANT is derived from the word BLAZE. Office Kitchen. Being your all-around kitchen assistant.www.ebay.com
link hiyo hapo, ila naona jamaa kapandisha gharama za shipping
Okay nakupata ina maana wewe ulijaza tu adress yako mengine akamaliza yeye...!?Mkuu, mimi nilinunua tu muuzaji ndo akatuma kwa namna hiyo, mzigo ulisafirishwa na FedEx kutoka Roosevelt, UT, US sehemu ambayo muuzaji alipo kwenda GLENDALE HEIGHTS, IL, US ambapo ndo hub center ya Ebay kule marekani. Baadae ukasafirishwa kwa FedEx kutoka GLENDALE HEIGHTS, IL, US kwenda Germany, kutoka Germany ukasafirishwa na DHL hadi bongo dar es salaam, na mwisho mzigo ukisafirishea hadi Babati, Manyara nami nikauchukulia Posta mjini Babati.
naona huyo muuzaji kamaliza mzigo, check kwa wauzaji wengine zipo nyingi tu brand tofauti tofauti, search "Airfryer Oven" pia angalia positive feedback ya seller angalau iwe 80% na zaidi ingawa sio muhimu sana.naona bidhaa iko “out of stock"
Nina swali moja mkuu, kwanini hukununua humu nchi ni...!?naona huyo muuzaji kamaliza mzigo, check kwa wauzaji wengine zipo nyingi tu brand tofauti tofauti, search "Airfryer Oven" pia angalia positive feedback ya seller angalau iwe 80% na zaidi ingawa sio muhimu sana.
Ya hivyo au kufanana na hiyo hapa nchini bei ghali, zipo za silver crest na kenwood za mchongo bei chee ambazo utatumia muda mchache then linaharibika unaweka stoo, na pia hata ufanyaji kazi wake ni wa mchongo tofauti na specification zake.Nina swali moja mkuu, kwanini hukununua humu nchi ni...!?
siku nyingne mzigo kama huu chukua alibabaManunuzi $84.95
shipping $19.95
Total $104.90
weight sikumbuki, ni airfryer oven 12L