Folk Part II
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 419
- 490
- Thread starter
-
- #121
Wanaamin sana hospital lakin wangejua madakitari wengi huko wana D2 ila wapo vitengo vya juu alaf wabishi hawana muda wa kushauriana na mgonjwaWatu wengine huwa akili zenu zinawaza nini? So wewe unadhani kwa ugonjwa huu mleta mada hajaenda hospital ila kaanzia hapa Jf? Shwain
Mi najuaga ile ni starch mkuu na sio sukari hata test za maabara zinaonyesha ivoHivi ugali wa sembe hauna vimelea vya sukari kweli, nauliza tu
Ahsante sana kwa kujali mkuuHiyo nazami ni ni UTI type II, niliumwa mgongo na kiuno kidogo, muda mrefu ila mkojo haumi, nikatumia vidonge Azuma kutwa mara 1 x 7 days, imeondoka. Nimeambiwa Azuma pia inatibu typhoid ,mimi sio daktari, ils mimi nilikuwa nahisi pia kams kuna kitu nimebeba eneo hilo kusabisha kuchoka sana hsda kams natembea na inabidi nipande mlima au mwinuko. Huenda wewe una tatizo tofauti ila hata mimi lilidumu muda mrefu.
Kwa hiyo nimepona hata mi sielewe ni kisukari type 2 au uti ila vidonge nilivyotumia ni hivyo,Sikwenda hospitali ila tatizo limeisha.
Ahsante sana kwa kujali mkuu
Pole sana kwa changamoto unayoipitia.Nakutia moyo usikate tamaa! Ukipata nafasi tujadiliane kidogo nikuchukue maelezo.Ahsante sana kwa kujali mkuu
Huwa najiambia mwenyewe hili limeachiliwa lije kwangu ,lakini najua Mungu ataachilia na uwezo wa kulishinda pia, usiache kumtegemea Mungu, Huwa naamini Kuna wakati nilitakiwa kufa ,ni miaka kama ishirini Sasa , ila kwa imani kubwa sikufa,Ila cha moto nakiona mkuu nipo kwenye tanulu
Mh! Unaandika mambo magumuAhsante sana mkuu naona nimeteseka muda wangu wa kuondoka umefika
Vp lakini mkuu, umefanikiwa kupata matibabu ya shida yako au hata kujua tatizo ni nini?Mi najuaga ile ni starch mkuu na sio sukari hata test za maabara zinaonyesha ivo
Bado mkuuVp lakini mkuu, umefanikiwa kupata matibabu ya shida yako au hata kujua tatizo ni nini?
Acha tu ndugu yangu mbele yangu nalionaa giza tu, ndugu mpaka leo nipo licha ya kukubali kuondoka kwenye hii dunia, nakishukuru sana kinachonikinga pale ninapotaka kuchukua maamuzi magumuMh! Unaandika mambo magumu
Najikongoja bado tu mkuu na hali yangu
Bado mkuu wap unapatikana?Km hujapona bado unaishi niambie nikupe Dawa upone usahau maumivu achana na hao madokta wenye D2 njoo kwa modokta wenye makarai ya kukaangia chipsi
Bado mkuu najikongojaVipi ulipona?
Amen ndugu yangu,,,, ubarikiwe sana mkuuHuwa najiambia mwenyewe hili limeachiliwa lije kwangu ,lakini najua Mungu ataachilia na uwezo wa kulishinda pia, usiache kumtegemea Mungu, Huwa naamini Kuna wakati nilitakiwa kufa ,ni miaka kama ishirini Sasa , ila kwa imani kubwa sikufa,
Sikufariji kwa maneno yangu ,ila niamini ninalokwambia,ukiwa na matatizo na ukakata tamaa kwa Mungu,(yaani ukaweka pembeni utashi na ufahamu wako wote pembeni na kumwambia Mungu am all yours, kama umeamua nife sawa,ila Mimi Bado nataka kuishi kwa sababu A,B,C na nk, hivo nakutegemea) ,yeye hujidhihilisha zaidi kuliko wakati wowote ule , Jenga utaratibu wa kulalamika kwa Mungu kama vile unavolalamika kwa mpenzi wako au rafiki Yako, hakikisha unakuwa pekeyako, maana waja wakikuona watasema Tayari king'amuzi kimeyumba,. ,. Pia jifunze kushukuru Kila siku ukiamka ukajikuta Bado upo mzima,kwenye kushukuru Kuna nguvu sana sana, it sounds as if unaomba sababu ya kuishi Tena,
Mungu akutie Nuru pamoja na nguvu ,ukazidi katika afya, Mimi nakuombea heri rafiki yangu
Pole Sana mkuu, Mungu atakuponya tu,mi Kuna kipindi niliugua ugonjwa wa ajabu madonda ya tumbo so madonda kwa mda wa miaka 5 nilikonda Sana watu walidhani Nina ukimwi ndugu walinitenga , nilikonda Sana unaweza ukaamuka angalau umenenepa kidogo lakini baada ya dakika unakonda Kama mbu, nilikuwa nawaonea wivu wanene sikupata msaada wowote iwe kwa ndugu ama nani wote walininyanya paa,,kilichobaki nikawa naomba tu kufaa maanashasulubika vya kutosha chakushangaza Hali ile mpaka sasa imekata Niko vizuri tu nasizani Kama ,,, kwahiyo ndugu ni mitihani tu MUNGU atakuponyaAhsante sana mkuu naona nimeteseka muda wangu wa kuondoka umefika
AminaAmen ndugu yangu,,,, ubarikiwe sana mkuu
Mungu akusaidie upate matibabuAcha tu ndugu yangu mbele yangu nalionaa giza tu, ndugu mpaka leo nipo licha ya kukubali kuondoka kwenye hii dunia, nakishukuru sana kinachonikinga pale ninapotaka kuchukua maamuzi magumu
Mkuu mim nilikuwa na matatizo flan kama 2 years ago, nilikata tamaa na nikawa natamani/naona bora kufa maana sikuwa naona tena thamani ya kuwa hai kwani ni mateso tu. Ilifikia stage nikawa nawaonea wivu waliotangulia mbele ya haki. Tatizo langu lilikuja kuisha katika hali ya maajabu sana. Kwani dalili zote zilikuwa zinaonyesha ni tatizo la kisayansi na linaweza sababishwa na hiki au kile ambapo kweli hizo sababu kwa upande wangu zilikuwa valid. Kifupi nilikuja kuponea kwa mmoja wa hawa manabii ambao zamani nilikuwa nawadharau sana, yaani mimi uniambie juu ya manabii sijui nabii nani aisee nilikuwa naona watu ni wajinga sana. Leo hii nikisikia mtu anasema kuhusu mambo ya manabii huwa sina comment kwani nilikotoka najua mwenyewe kuwa ningekuwa mfu. Sema manabii wengi ndiyo vile tena. Should you be interested or want more details njoo pmBado mkuu