Nahisi kufa nahitaji msaada wa haraka

Nahisi kufa nahitaji msaada wa haraka

Tafuta pesa enough nenda Nairobi ,Kenya , Kuna hospitali ya kikatoliki inaitwa "The Matter Hospital" ni private ,au aga Khan Nairobi , hizo hospitali mbili npo sure watakupa meejesho , madaktari wao ni wazee very experienced . All the best mkuu
 
Ndugu zanguni naumwa sana na spinal cord (hiki ni kinyama kinachofunikwa na uti wa mgongo upande wa nyuma kinaanzia shingoni hadi kiunoni)

Mimi panaponiuma sehemu mkabara na kifua (maumivu kama kidonda kimewekwa pilipili au nachomwa na moto pamoja na misuli kukaza iyo sehemu had mabegani)

Naomba kuuliza kuna mtu au ulimsikia amewahi kuumwa SPINAL TB (TB ya mgongo (ungwe mgongo) au spinal kushambuliwa na fangas?

Naomba msaada wa mawazo.

Nawasilisha.


View attachment 2664916
Mgonjwa anaye taka kufa anachat kuomba msaada jamii forums hii hatari sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Ndu
Huo ugonjwa nenda hospital niliwahi kumpoteza mzee wangu kwa ugonjwa huo, yaani unaweza kupata maumivu pakauma sana then pakaacha kwa kipindi na pakiwa hapaumi unakua safi kabisa na mtu anaweza kudhani ulikua unaigiza, na wakati pakianza kuuma hadi upumuaji unakua shida sana , jitahidi uwahi hospital za maana kwa sababu hizi hospitali zetu watakujaza dawa za maumivu vidonge na za kuchua halafu watakueleza ni pingili sijui imekuaje na baadae utaishiwa hadi damu na kudhoofu, wao kufahamu ni spinal tb hawajui kabisa, na utafanyishwa mazoezi yasio na kichwa wala miguu, so wahi haraka sana
Mkuu acha tu, kwaiyo mzee alikufa bila kujulikana nini kilimuua?
 
Sawa mkuu nashukuru kwa ushaur wako ntaufanyia kazi
jipange uende muhimbili (MOI), tatizo lako linaweza husiana na shughuli zako za kila siku, au magonjwa ya pingili, japo kwa vipimo ulivyopimwa shida ilitakiwa kuonekana, ila pengine hawana utaalamu wa kutosha, ila ni hali inayoweza kusaidika ukikutana na daktari bingwa, kuna tiba za madawa, kuna tiba zaa mazoezi na vifaa saidizi, mdogo mdogo unapona, muhimu usikate tamaa maana ni shida zinazohitaji muda kiasi ili kuanza kupata nafuu.
 
Mi namsamehe tu mkuu hajui alisemalo, mungu akuepushe na haya napitia
Dah! Pole sanaa aise.. sikujui lakin tatizo lako limenigusa sanaa.
Mwenyezi Mungu akusaidie Na akufanyie wepesi upone.
Pia zingatia sana ushauri wa humu ukafanyie kazi I believe utapona lakin pia isipokua hivyo basi maana tunaishi kwa sabab ya kuisha

Kila La Kheri Kiongozi Mungu akusaidie sana🙏🤲
 
Sawa
Hospital hua hawaoni chochote, kwanza jitahidi utengeneze huu mchanganyiko tuone, mdalasini ya unga vijiko viwili, kitunguu saumu twanga punje saba kiwe cha kienyeji, green apple kata nusu na ulitwange, chukua nusu kijiko cha chai pilipili manga na karafuu nazo twanga, tangawizi uchukue kama hando moja menya utwange, vitu ulivotwanga utaviweka juani kwa muda wa masaa mawili, baadae chuku kikombe cha nusu lita weka humo asali robo lita ile asali ya nyuki wadogo upate ya asilia kabisa ina uchachu hivi, halafu chukua vitu ulivyotwanga vyote tia humo kwenye asali hiyo changanya kwa kukoroga hadi upate uji uji baadae chukua limao moja likamue maji yake tia humo halafu, koroga tena, hiyo dawa iweke kwenye kivuli ndani iache kama masaa matatu hivi, halafu dozi unachukua kijiko kidogo cha chai usiku wakati wa kulala, na kijiko kingine asubuhi mapema hua ni dozi ya siku saba, binafsi ilinisaidia sana shida fulani za kifua,
Kila kitu hapo unapata masokoni tu
Sawa mkuu ntatafta hizi bidhaa nifanye ivo, shukran sana
 
Dah! Pole sanaa aise.. sikujui lakin tatizo lako limenigusa sanaa.
Mwenyezi Mungu akusaidie Na akufanyie wepesi upone.
Pia zingatia sana ushauri wa humu ukafanyie kazi I believe utapona lakin pia isipokua hivyo basi maana tunaishi kwa sabab ya kuisha

Kila La Kheri Kiongozi Mungu akusaidie sana🙏🤲
Nashukuru sana kwa kujari ndugu yangu,, mungu akuzidishie kuwa na moyo huohuo ubarikiwe sana mkuu
 
Ahsante mkuu, ubarikiwe kwa ushaur wako
Tafuta pesa enough nenda Nairobi ,Kenya , Kuna hospitali ya kikatoliki inaitwa "The Matter Hospital" ni private ,au aga Khan Nairobi , hizo hospitali mbili npo sure watakupa meejesho , madaktari wao ni wazee very experienced . All the best mkuu
 
Back
Top Bottom