Nahisi kukata tamaa dunia haina usawa

Nahisi kukata tamaa dunia haina usawa

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Msaada wa kimawazo masaibu ya dunia hii ni mengi, sijawahi kuwa Furaha hata chembe, ni vioja kila siku.

Sijui nimekosea wapi?..

Nna imani hii Hali sio ya kudumu ni ya kupita tuu.

Yatakwisha...

====
Vumilia mkuu,hata mimi mwanzo nilikua kama wewe ila baadae nikatambua kuwa hakuna wa kunipa furaha zaidi yangu mimi mwenyewe. Jitazame wewe wa jana na leo,tambua kuwa hai tu ni jambo la kheri!,jikubali na amini katika kile unachokifanya.

Jitazame ulivyo,thamani yako ni kubwa. Kuna sababu ya wewe kuwa hai mpaka sasa,itafute sababu hiyo na ukiijua hutokosa amani tena.

Tafuta shughuli/kazi za kukufanya uwe bize muda mwingi. Hapa namaanisha kuwa ifanye akili yako iwaze kutimiza jambo/kazi fulani,hapa namaanisha hakikisha siku inazama huku ukiwa na mikakati ya kumalizia au kuanza kazi fulani siku inayofuata.

Kama ni kijana na unaishi kwa ndugu,jamaa,rafiki au wazazi hama hapo, kuna muda tunahitaji kuwa huru kiasi. Tafuta hata chumba,panga uishi mwenyewe,waza maisha yako mwenyewe.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vumilia mkuu,hata mimi mwanzo nilikua kama wewe ila baadae nikatambua kuwa hakuna wa kunipa furaha zaidi yangu mimi mwenyewe. Jitazame wewe wa jana na leo,tambua kuwa hai tu ni jambo la kheri!,jikubali na amini katika kile unachokifanya.

Jitazame ulivyo,thamani yako ni kubwa. Kuna sababu ya wewe kuwa hai mpaka sasa,itafute sababu hiyo na ukiijua hutokosa amani tena.

Tafuta shughuli/kazi za kukufanya uwe bize muda mwingi. Hapa namaanisha kuwa ifanye akili yako iwaze kutimiza jambo/kazi fulani,hapa namaanisha hakikisha siku inazama huku ukiwa na mikakati ya kumalizia au kuanza kazi fulani siku inayofuata.

Kama ni kijana na unaishi kwa ndugu,jamaa,rafiki au wazazi hama hapo, kuna muda tunahitaji kuwa huru kiasi. Tafuta hata chumba,panga uishi mwenyewe,waza maisha yako mwenyewe.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee, hayo yameanza awamu hii ya tano au hata nyuma yalikuwepo
 
Umewahi kuingizwa VICOBA na mama yako wa ukoo ukitarajia kupata Milioni 3 mwisho wa mwaka?

Halafu wiki mbili kabla unafuatwa kukumbushwa kulipa deni la sivyo pesa zako hutopata? Na hapo bado una negative?

Halafu siku ya siku, ofisi iliyokua inakufanya uweze kuchangia hapo VICOBA imekuja kubebwa yote kama ilivyo na mazaga mengine ya gheto ili kufidia mkopo (ambao hukuuchukua ila kwakua mama wa ukoo ndiye alikuintroduce so aliweza kuchukua akaaminiwa).

Nigga am broke as fvck right now. No direction nothing niko tu nabishana na watu JamiiForums nasubiria eviction notice.
 
Usikate tamaa, tambua hakuna tatizo la kudumu. Wengi tunateseka hasa kiuchumi ila tunatia muda kwa nyakati ngumu kupita na maisha yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewahi kuingizwa VICOBA na mama yako wa ukoo ukitarajia kupata Milioni 3 mwisho wa mwaka?

Halafu wiki mbili kabla unafuatwa kukumbushwa kulipa deni la sivyo pesa zako hutopata? Na hapo bado una negative?

Halafu siku ya siku, ofisi iliyokua inakufanya uweze kuchangia hapo VICOBA imekuja kubebwa yote kama ilivyo na mazaga mengine ya gheto ili kufidia mkopo (ambao hukuuchukua ila kwakua mama wa ukoo ndiye alikuintroduce so aliweza kuchukua akaaminiwa).

Nigga am broke as fvck right now. No direction nothing niko tu nabishana na watu JamiiForums nasubiria eviction notice.
Pole sana mkuu, ni changamoto sana boss siyo kawaida aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom