Nahisi kukataa tamaa majanga mengi, mke ananichosha

Nahisi kukataa tamaa majanga mengi, mke ananichosha

Unaonekana unamatatizo baada ya kupata msongo wa uchumi
Embu kaa uandike upya vizuri unayo pitia wadau watakushauri vizuri
 
0f61606c-8c6f-4ab7-8c59-07bdf9d71318.jpg
 
Wadau nahisi kukataa tamaa kabisa,madeni mengi pia mwenzangu naona hatuendi sawa kwenye swala Zima la maisha,Nina watoto nae aliniambia nikimtimua ataenda ustawi wagawe posho yangu by 2,huyu mwanamke amesababisha Nina madeni halafu ananipushi niendelee kukopa,mambo ambayo mimi sihitaji,pili yeye hata kama anatumia salary yangu haoni kama Kuna kitu nafanya kwenye familia,Kwa ufupi yeye anaependa kuishi maisha flavi hivi ambayo hana.kiukweli mimi SI mtu wa kupenda kuopa kopa bila sababu za msingi.Nafikiria nimwache ingawaje Si jambo lilikuwa nafikiria kufanya.kuna jambo nilikuwa nilikuwa nimwemwambia asifanye kuhusu watoto lakini yeye anafanya,Sasa mtu kama huyu,naendelea kukaa Naye Ili iweje?
Kama vile unaishi Arusha ee
 
Iko hivi kwanza tujue umeshafunga nae ndoa ?? Kama Bado usifunge wait until age 47 pili kuuza uchumi wako tatu focus na kazi Muombe sana mungu mwisho mzalie mtt njee muoneshe akili Iko inn and sometime out ataa kwenye reli imeandikwa tuishi nao Kwa akili Hawa viumbe are snake ndo kiumbe pekee waliofanya contract na shetan ana Kwa ana
 
Wadau nahisi kukataa tamaa kabisa, madeni mengi pia mwenzangu naona hatuendi sawa kwenye swala Zima la maisha.

Nina watoto nae aliniambia nikimtimua ataenda ustawi wagawe posho yangu by 2, huyu mwanamke amesababisha Nina madeni halafu ananipushi niendelee kukopa, mambo ambayo mimi sihitaji.

Pili yeye hata kama anatumia salary yangu haoni kama Kuna kitu nafanya kwenye familia, Kwa ufupi yeye anaependa kuishi maisha flavi hivi ambayo hana.

Kiukweli mimi si mtu wa kupenda kuopa kopa bila sababu za msingi. Nafikiria nimwache ingawaje Si jambo lilikuwa nafikiria kufanya, kuna jambo nilikuwa nilikuwa nimwemwambia asifanye kuhusu watoto lakini yeye anafanya.

Sasa mtu kama huyu, naendelea kukaa naye Ili iweje?
Kuna wanawake utamkataza kiti hasikii unakirudia tu huwa inakera sana,fukuza huyo.
 
Wadau nahisi kukataa tamaa kabisa,madeni mengi pia mwenzangu naona hatuendi sawa kwenye swala Zima la maisha,Nina watoto nae aliniambia nikimtimua ataenda ustawi wagawe posho yangu by 2,huyu mwanamke amesababisha Nina madeni halafu ananipushi niendelee kukopa,mambo ambayo mimi sihitaji,pili yeye hata kama anatumia salary yangu haoni kama Kuna kitu nafanya kwenye familia,Kwa ufupi yeye anaependa kuishi maisha flavi hivi ambayo hana.kiukweli mimi SI mtu wa kupenda kuopa kopa bila sababu za msingi.Nafikiria nimwache ingawaje Si jambo lilikuwa nafikiria kufanya.kuna jambo nilikuwa nilikuwa nimwemwambia asifanye kuhusu watoto lakini yeye anafanya,Sasa mtu kama huyu,naendelea kukaa Naye Ili iweje?
Hakuna mtu aliyepatia kuoa hata mmoja duniani, wote huwa wanakosea. Kwa hiyo usijihisi ulikosea.
Unachotakiwa kufanya ni kuishi naye kwa akili tu wala usishindane naye. Mfano, kuhusu watoto usiwapende sana watoto kuliko unavyompenda mama yao maana unao uwezo wa kupata wengine na mwanamke mwingine.
Kuhusu kukopa, kopa kwa malengo na kwa tahadhari, akishajua umekopa mpaka hukopesheki atakutafutia kosa akumwage mugawane mbao. Usione mtu anajenga nyumba haiishi kwa miaka kadhaa japo wanafursa za kukopa. Wanasababu zao. Usimuache bali ishi naye kwa akili.
 
Back
Top Bottom