Nahisi kukataa tamaa majanga mengi, mke ananichosha

Nahisi kukataa tamaa majanga mengi, mke ananichosha

Hakuna mtu aliyepatia kuoa hata mmoja duniani, wote huwa wanakosea. Kwa hiyo usijihisi ulikosea.
Unachotakiwa kufanya ni kuishi naye kwa akili tu wala usishindane naye. Mfano, kuhusu watoto usiwapende sana watoto kuliko unavyompenda mama yao maana unao uwezo wa kupata wengine na mwanamke mwingine.
Kuhusu kukopa, kopa kwa malengo na kwa tahadhari, akishajua umekopa mpaka hukopesheki atakutafutia kosa akumwage mugawane mbao. Usione mtu anajenga nyumba haiishi kwa miaka kadhaa japo wanafursa za kukopa. Wanasababu zao. Usimuache bali ishi naye kwa akili.
Umeongea vyema sana ndoa yako Ina miaka mingap mkuu
 
Kaa chini na mkeo mtafute suluhisho la kudumu.Kuachana sio suluhisho.
 
Wadau nahisi kukataa tamaa kabisa, madeni mengi pia mwenzangu naona hatuendi sawa kwenye swala Zima la maisha.

Nina watoto nae aliniambia nikimtimua ataenda ustawi wagawe posho yangu by 2, huyu mwanamke amesababisha Nina madeni halafu ananipushi niendelee kukopa, mambo ambayo mimi sihitaji.

Pili yeye hata kama anatumia salary yangu haoni kama Kuna kitu nafanya kwenye familia, Kwa ufupi yeye anaependa kuishi maisha flavi hivi ambayo hana.

Kiukweli mimi si mtu wa kupenda kuopa kopa bila sababu za msingi. Nafikiria nimwache ingawaje Si jambo lilikuwa nafikiria kufanya, kuna jambo nilikuwa nilikuwa nimwemwambia asifanye kuhusu watoto lakini yeye anafanya.

Sasa mtu kama huyu, naendelea kukaa naye Ili iweje?
Tunawaambia kila siku mwanaume kataa ndoa kwa nguvu zote, hamuelewi. Mna kazi ya kuja kutulilia hapa. Narudia tena MWANAUME KATAA NDOA! Tunafanywa chambo wa wanawake na tunakufa na stress tupu kwa ajili yao
 
Iko hivi kwanza tujue umeshafunga nae ndoa ?? Kama Bado usifunge wait until age 47 pili kuuza uchumi wako tatu focus na kazi Muombe sana mungu mwisho mzalie mtt njee muoneshe akili Iko inn and sometime out ataa kwenye reli imeandikwa tuishi nao Kwa akili Hawa viumbe are snake ndo kiumbe pekee waliofanya contract na shetan ana Kwa ana
Pin tayri ,quarter pin
 
Wenzio weny akili hawaoi hawa wanawake wenye mambo mengi sijui mawigi mara kutwa kweny sherehe za marafiki na michango juu...wapenda show off tulia tafuta mwanamke katulia hata ukimpa 60k ya kununua nguo anaona nyingi hawa wa mjini kama hana kazi utajuta mara kucha, make up ,mawingi gharama nyingi kuwa smart mfano wigi la 60k kila wiki anabadili unafikria utamuweza kwa pesa zako za mawazo.

Kama hana kazi awe low katika matumizi na bado ana utoto mwingi sana....Kama ndo wale wa kuacha kichwa wazi utakosa izo gharama za kujipodoa huko kichwani kuweka manywele bandia.
 
Nenda huko ustawi wa jamii anapooona panakutisha ukajue haki zako kabla hujamuacha ,ukishaijua haki yako hawezi kukutishia tena.
 
Huko nasikia huchomoki,kama akienda nataka nikimbilie hata ugana
Nenda huko ustawi wa jamii anapooona panakutisha ukajue haki zako kabla hujamuacha ,ukishaijua haki yako hawezi kukutishia tena
 
U
Wenzio weny akili hawaoi hawa wanawake wenye mambo mengi sijui mawigi mara kutwa kweny sherehe za marafiki na michango juu...wapenda show off tulia tafuta mwanamke katulia hata ukimpa 60k ya kununua nguo anaona nyingi hawa wa mjini kama hana kazi utajuta mara kucha, make up ,mawingi gharama nyingi kuwa smart mfano wigi la 60k kila wiki anabadili unafikria utamuweza kwa pesa zako za mawazo.

Kama hana kazi awe low katika matumizi na bado ana utoto mwingi sana....Kama ndo wale wa kuacha kichwa wazi utakosa izo gharama za kujipodoa huko kichwani kuweka manywele bandia.
Uungwana wangu sikutaka mambo ya zinaa ndugu
 
Unachomoka vizuri tu hasa kama watoto wamevuka miaka 7 na pia posho hamuwezi gawana pasu kwa pasu. Unawapa orodha ya madeni yooteee kisha unataja kiwango unachoweza kutoa baada ya kulipa hayo madeni uliyonayo. unaweza taja hata elfu 40
Huko nasikia huchomoki,kama akienda nataka nikimbilie hata ugana
 
Back
Top Bottom