Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ungesema kabisa matumizi yapi mpaka anapelkea kukopa ila wanawake weny mambo mengi ndo tatizo lao.U
Uungwana wangu sikutaka mambo ya zinaa ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesema kabisa matumizi yapi mpaka anapelkea kukopa ila wanawake weny mambo mengi ndo tatizo lao.U
Uungwana wangu sikutaka mambo ya zinaa ndugu
Sio kuwa hatujui kupiga ngumi,mimi mambo ya ugomvi sitaki kabisa najiepusha nayo Sana Kwa ujumla sihitaji Shari na wanadamuMkuu mm mwanamke simtesi simnyanyasi ila siwezi kutawaliwa na mwanamke na siwezi kumpiga mwanamke
achana na takataka hiyo njoo chamani jombaa, utanishukuruHao wajamaa wa kataa ndoa ni WA kweli
Ukiona mtu anaelezea mambo ya ndoa jua kuna mawili, aidha hana mke kabisa, au mke anaye lakini hajawahi kupigwa tukio la kumtikisa.Umeongea vyema sana ndoa yako Ina miaka mingap mkuu
[emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Fukuza huyo jambazi
Hiyo ndo akili ya kuishi nao Mzee baba ila ukijifanya unambavu n hatari utaishi maisha yako yote uliobakiza kama upo sero ndo maana wanaume WENGI hujinyongaaaMkuu mm mwanamke simtesi simnyanyasi ila siwezi kutawaliwa na mwanamke na siwezi kumpiga mwanamke
Mkuu, rudia kusoma alichoandika mtoa mada.Kaa chini na mkeo mtafute suluhisho la kudumu.Kuachana sio suluhisho.
Hapo kwenye kuowa na ndo na mashaka nayo ila uwe kwenye ndoa na hujapigwa tukio n uwongoUkiona mtu anaelezea mambo ya ndoa jua kuna mawili, aidha hana mke kabisa, au mke anaye lakini hajawahi kupigwa tukio la kumtikisa.
Huo n ushauri au ndo unaharibu kabisaKuna watu ni watumishi lakin hawatishiw nyau na hawa wanawake,akizingua anasepeshwa na hafanyi kitu
Nenda kwa mganga akusaidie kumuondoa