fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
wakuu siwelewei nifanyeje niko sehemu mtu ananiangalia sana simuelewi wakuu halafu n mdada mzuri lakni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio anakuangalia sema mnaangaliana sana😂wakuu siwelewei nifanyeje niko sehemu mtu ananiangalia sana simuelewi wakuu halafu n mdada mzuri lakni
hatonileta noma kweliMnunulie chips then mpeleke hotelini
mkuu sruas hiiNunua ndomu chukua lifeguards
naomba mungu asiwe mtu asojulikana nikapotea naan n mzri mnooKesho utaamka hauna hata mia mbovu mfukoni na utakachokumbuka ni kuna mdada mzuri alikuwa anakuangalia. Baada ya hapo hautakumbuka kitu.
whyHakika kazaliwa.
yy ameptliza kila mda alfu akwrpesh macho sjui ni usalama uyu 🤣😀 ni anikwepekabuSio anakuangalia sema mnaangaliana sana😂
Hio tunaita love at first sight🙃yy ameptliza kila mda alfu akwrpesh macho sjui ni usalama uyu 🤣😀 ni anikwepekabu
Hio tunaita love at first sight
🤣🤣🤣Dadekkwaiy kanipends ngj nmtume weater akaniitie nindadisii
humu tuuu🤣🤣🤣Dadek
Umevaa suruali tight nini, je makalio yako yanachoreka? Hapo kuna matatu (1) anataka kukufila (2) anataka umfile yeye (3) anataka kukukaba apate hela ya siku kuuwakuu siwelewei nifanyeje niko sehemu mtu ananiangalia sana simuelewi wakuu halafu n mdada mzuri lakni
hahahahahahahahhahahahahahahahhaahahahahahahahhahahahaahahahashshahaahaha wanawake wanafii kumbe dunia imeharbika mm nmevaa surual ya kitambaa bwanga flani la kiheadmaster naona ananikodolea lea macho sana apa kauntaUmevaa suruali tight nini, je makalio yako yanachoreka? Hapo kuna matatu (1) anataka kukufila (2) anataka umfile yeye (3) anataka kukukaba apate hela ya siku kuu
Patana naye bei kabisa, jumlisha na ya gesti, hela zingine kaweka ktk simu halafu fika mapokezi kabizi simu, burudika kijana stress freewakuu siwelewei nifanyeje niko sehemu mtu ananiangalia sana simuelewi wakuu halafu n mdada mzuri lakni