nahisi kuna watu (mtu) ananifuatilia nifanueje

nahisi kuna watu (mtu) ananifuatilia nifanueje

hahahahahahahahhahahahahahahahhaahahahahahahahhahahahaahahahashshahaahaha wanawake wanafii kumbe dunia imeharbika mm nmevaa surual ya kitambaa bwanga flani la kiheadmaster naona ananikodolea lea macho sana apa kaunta
Jaribu kuinama kama unamuonyesha makalio uone reaction yake
 
Uko beer ya ngapi?

Maana bar unapoingia ma bar-maid wote wabaya, ukifika beer ya 10 unawaona wote wako kama malaika walioshushwa kuja kuku-hudumia wewe tu.

Kunywa taratibu, baadaye utagundua hata alikuwa hakuangalii wewe.
 
Uko beer ya ngapi?

Maana bar unapoingia ma bar-maid wote wabaya, ukifika beer ya 10 unawaona wote wako kama malaika walioshushwa kuja kuku-hudumia wewe tu.

Kunywa taratibu, baadaye utagundua hata alikuwa hakuangalii wewe.
sijalswa mkuu 🤣🤣🤣🤣😀
 
Back
Top Bottom