GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tena nahisi kuna Wengine hupigiwa hadi Simu na Kuulizwa kwa Kubembelezwa kama si Kudekezwa huku Wengine kwa Kuwakomoa au Chuki Kwao wanapelekwa ( wanatumwa ) mbali.
Hivi Kijana kama Niki wa Pili unamtoaje Kisarawe na kumpeleka Kibaha? Kwanini kwa Umri wake asipelekwe huko Wilaya ya Mpakani kwa Watani zangu Waha Mkoani Kigoma ili akakomae zaidi?
Hivi Dada Mbichi kabisa kama Fatma Almasi Nyangasa ( Jirani Mbezi Beach Makonde Mitaa ya Mabalozi Sefue na Marehemu Mzee Tambwe ) unamtoaje Kigamboni kisha unampeleka Kisarawe? au Mumewe mwenye Wivu Kupindukia ndiyo kapiga Magoti Mkewe ( Dada Fatma ) asipelekwe mbali kusije kuwa na Sharing of Sweet Biological Cake yake na Wadau Wengine?
Kulikuwa na Ugumu gani kumpeleka Fatma Almasi Nyangasa Wilaya za Mkoa kama wa Shinyanga tena huko ndani ndani kabisa ili nae akakomae?
Inasikitisha kuona Wazee tena wengine wanaweza hata kuwa na Umri walionao Wazazi wa Watajwa Niki wa Pili na Fatma Nyangasa wanatupwa / wanapelekwa Mikoa ya mbali na Wilaya za Ndani kabisa kitu ambacho nakiona ni kama vile siyo Kuwaheshimu.
Hivi Kijana kama Niki wa Pili unamtoaje Kisarawe na kumpeleka Kibaha? Kwanini kwa Umri wake asipelekwe huko Wilaya ya Mpakani kwa Watani zangu Waha Mkoani Kigoma ili akakomae zaidi?
Hivi Dada Mbichi kabisa kama Fatma Almasi Nyangasa ( Jirani Mbezi Beach Makonde Mitaa ya Mabalozi Sefue na Marehemu Mzee Tambwe ) unamtoaje Kigamboni kisha unampeleka Kisarawe? au Mumewe mwenye Wivu Kupindukia ndiyo kapiga Magoti Mkewe ( Dada Fatma ) asipelekwe mbali kusije kuwa na Sharing of Sweet Biological Cake yake na Wadau Wengine?
Kulikuwa na Ugumu gani kumpeleka Fatma Almasi Nyangasa Wilaya za Mkoa kama wa Shinyanga tena huko ndani ndani kabisa ili nae akakomae?
Inasikitisha kuona Wazee tena wengine wanaweza hata kuwa na Umri walionao Wazazi wa Watajwa Niki wa Pili na Fatma Nyangasa wanatupwa / wanapelekwa Mikoa ya mbali na Wilaya za Ndani kabisa kitu ambacho nakiona ni kama vile siyo Kuwaheshimu.