Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Nimehamia kwa mpenzi wanguKwa hio sasa hivi umehamia wapi Minjingu Jingu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimehamia kwa mpenzi wanguKwa hio sasa hivi umehamia wapi Minjingu Jingu ?
Hongera kwa kuolewa na huyu mtu unabahati kwa kweli😜mbona nipo sana mme wangu 😂😂😂😂
Minjingu JinguNimehamia kwa mpenzi wangu
Umenipatia huyo binti? Kama ni mzuri haina shida.
Ingia pm mkamalizane nimekupatia binti yangu Tundazuri bure kabisa ila ana majini yanayopenda pesa kuliko kitu chochote kwa hio kua makiniUmenipatia huyo binti? Kama ni mzuri haina shida.
Kuandika ni kipaji, dogo intelli anahitaji utulie ili umuelewe.Kweli nimezeeka🤚
NimekubaliKuandika ni kipaji, dogo intelli anahitaji utulie ili umuelewe.
Duuh umekataaAcha kunipa sifa zisizo zangu, pesa kila mtu anayo, akawasaidie wazazi wake atapata Baraka zaidi kuliko mimi
Haya fungua PM nijeNimekubali
UnanipakaziaDuuh umekataa
Umepoa sana aseeh use me bhn hata km unaumwambona nipo sana mme wangu 😂😂😂😂
Ntakuzngua ujue rombo mashati imefanya n. ? Na huyoFresh kabisa yaan mkuu vipi za hapo Rombo Mashati
Oya tulia atkson basi mbona unaleta shidaNtakuzngua ujue rombo mashati imefanya n. ? Na huyo
Sawa hamisa mobeto nimekupata vyemaOya tulia atkson basi mbona unaleta shida
Oya umepatwa na nini mzee?Sawa hamisa mobeto nimekupata vyema
Sipo sawa mzee wanguOya umepatwa na nini mzee?
Meza dawa zako fasta mkuuSipo sawa mzee wangu
Dawa gani wakati trump kasema ni zinauzwa sasaMeza dawa zako fasta mkuu