Nahisi mama mkwe wangu ni vampire

Tunachokijua: Huyo ni vampire iko siku utakuta kawatafuna watoto wote hapo nyumbani
 
Hizo ni stress za maisha tu,
Mpe hela au atafute hela,huenda hela ndio tatizo,

Huwezi kua na hela kisha ukawa na tabia za kimasikini.

😎
Hela tunampa sana tu mzee, kanyumba kazuri ka kisasa tumemjengea, na bajaji ya kumwingiza "ya ugoro" tumemnunulia inapiga kazi, sasa anataka nini kingine?
 
Akikupa blowjob umekwisha😆😆
 
Sasa aliwezaje kukulelea binti yake hadi ukamuowa wewe? Kwa nini akumla nyama?

Halafu jombaa umetawaliwa sana, yani likizo zote wewe unakwenda ukweni tu wewe ni Mcongoman huna kwenu?
 
Ondoka kabisa hata leo au unaendelea kusubiri majibu ya JF ndio uondoke,majibu ya humu utajibia ukishakuwa umefika kwako..
 
Sasa aliwezaje kukulelea binti yake hadi ukamuowa wewe? Kwa nini akumla nyama?

Halafu jombaa umetawaliwa sana, yani likizo zote wewe unakwenda ukweli tu wewe ni Mcongoman huna kwenu?
Haha haha kutawaliwa kuna raha yake mkuu. Likizo nyingine huwa naenda mbugani, na wakati mwingine Bill Lugano huwa anatukudia ndege tunazunguka pande mbalimbali za dunia.

Mwaka mpya tutakuwa Zuma Beach, Malibu
 
Hasira na ukali ni moja ya dalili ya kwamba mtu anamilikiwa na shetani.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa na hasira na ukali. Kaa hadi december iishe urudishe vampire mjini
 
mnunulie RedWine tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…