Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

Tushikamane mkuu hii wiki ni ngumu hao watatutafuta January 2025

Waache wale x-mass
 
nakuwa nmemkojolesha vyakutosha kiufupi nakuwa nmemwagia shudu zangu zakuzidi kwahyo namjua nje ndani teh teh teh teh anakuwa takataka tu kwangu
Poor boy.

Shida ni kwamba sex umeishusha thamani.

You should try treating it as the sacred act that it is.
 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwa karibu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana.

Nilimpenda sana!
Mmmmmm tafuta pesa broo
 
Aisee hayo mambo yote yanayoendelea duniani bado kuna watu mna muamini mwanamke.
 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwa karibu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana.

Nilimpenda sana!
Ulitakiwa umuache tu bila kufanya yote hayo........Newton alisema "In every action,there is an equal and opposite reaction"...............the more unavotumia nguvu kubwa kugombana ama kutofautina na watu ndio inavozidi kuathiri psychology yako,maumivu na chuki zako
Yaani kuoa/mahusiano ni kama kununua used item-------you sould have checklist,usije uziwa ronya kwa bei juu......Kuna research nimaifanya Malaya ni wengi sana na hua wanaanzaa wakiwa na miaka 14,..........
Yule demu ambaye alisoma SAUT,amelala sana mageto ya washkaji,amegongwa sana club ndio tunakuja kumpigia magoti kumvisha pete huku tukibubujikwa na machozi
Mwanamke hapimwi kwa akili ama shepu yake------anapimwa kwa past yake,kama huyo Malaya ulimkuta bikira msamehe,otherwise tomba ,tembea Fanya yako
 
Huu ni ujinga wa kiwango cha lami.
Unampigaje mwanamke ambaye sio mke wako?
Hata angekuwa mke akiwa msaliti muache kupigana ni dalili ya uzuzu.

Akauze mali yake nawe baki na tunguli zako au tafuta pengine pa kuzichomeka...basi
MKUU SAMAHANI HIVI WEWE NIWA KIUME AU NI MTOTO WA KIUME SAMAHANI KWA HILO
 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwa karibu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana.

Nilimpenda sana!
Sasa unavunja simu yako..? Uchi wake mwenye ameamua kuugawa kwa idadi wewe hutaki yaani unaweza kumzuia boss mtu asitumie mali yake ..
Wa wapi wewe!
 
Pole sana,kwa mtazamo wangu nafikiri bado upo kwenye umri wa miaka 24/25 na wewe,ila kwa mwanaume ambaye ameshafika angalau miaka 30 huwezi kuumizwa na demu labda angekuwa mke wako na angalau amekuzalia mtoto hata mmoja kidogo inaweza ikawa changamoto,
 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwa karibu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana.

Nilimpenda sana!
Chai💯
 
Kwanini umei umiza simu ambayo maskini wa Mungu haina makosa yoyote? Yaani mpaka umeipigiza chini ikavunjika? Pata picha ungekuwa ndio wewe simu, yaani umeuawa kwa makosa ya watu wazima wawili? Very stupid of you two.
Yaani wanasema tenda wema uende zako simu ndo imesaidia kujua tabia za mwenza wake yeye ameivunja ndo nini sasa daaah yaaan nimeskitika sana!!!
 
Back
Top Bottom