Nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, X Ray haioneshi kitu

Nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, X Ray haioneshi kitu

Under-cover

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
1,834
Reaction score
3,042
Wakuu habari, nilienda hospitali,

Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema kam hali itaendelea basi nirudi tena pale.

Ila pia muda mwngine nahisi maumivu hadi upande wa kulia na tumboni.

Wakuu mwenye mawazo zaidi hapa?

Ila pia huwa nina tatizo la asthma haswa kipind cha baridi na upepo , huwa nakuwa naumia kifua, au hii inaweza kuwa sababu?

Mana pia nahisi kifua kizito kwa mbali hivi.
 
Uwezekano mkubwa yanaweza kuwa madonda ya tumbo au GERD , ila ni muhimu kujiridhisha kwamba hayo maamivu hayatokokani na shida inayo husisha moyo

Hivyo ufike hospitali ufanye vipimo zaidi X ray haiwezi onesha shida .
Sawa mkuu ,ngoja nitumie hiz dawa, nione hali itakuwaje, huenda kukawa na madonda ya tumbo,
Ila doctor mwenyew alisema haoni shida kwenye moyo.
 
Uwezekano mkubwa yanaweza kuwa madonda ya tumbo au GERD , ila ni muhimu kujiridhisha kwamba hayo maamivu hayatokokani na shida inayo husisha moyo

Hivyo ufike hospitali ufanye vipimo zaidi X ray haiwezi onesha shida .
Pia mkuu iv vidonda vya tumbo haviwezekan kuonekana kwenye x ray?
 
Wakuu habari, nilienda hospital
Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema kam hali itaendelea basi nirudi tena pale...
Huyo doctor ni specialist!? Kama sio unana na physician! Hizo sio dalili nzuri!
 
Wakuu habari, nilienda hospitali,

Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema kam hali itaendelea basi nirudi tena pale.

Ila pia muda mwngine nahisi maumivu hadi upande wa kulia na tumboni.

Wakuu mwenye mawazo zaidi hapa?

Ila pia huwa nina tatizo la asthma haswa kipind cha baridi na upepo , huwa nakuwa naumia kifua, au hii inaweza kuwa sababu?

Mana pia nahisi kifua kizito kwa mbali hivi.
Tatizo linaweza kuwa Angina, haifiki Damu ya kutosha kwenye ambayo ndiyo inayobeba oxygen
 
Tatizo linaweza kuwa Angina, haifiki Damu ya kutosha kwenye ambayo ndiyo inayobeba oxygen
Huyu sio Angina ndio lugha za wagonjwa hizo 98% atakua ana PUD
Kawaida PEPTIC ULCERS mgonjwa hua anasema anahisi mgandamizo kifuan na moyo pia maumivu tumbon na mgongoni (Scapula)
ni lugha ya kujieleza tuwanashindwa kuelewa kua pain inaradiate from epigastric
 
Wakuu habari, nilienda hospitali,

Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu

Maumivu upande wa moyo halafu kipimo X-Ray?

Hebu nenda hospitali ya maana...
 
Huyu sio Angina ndio lugha za wagonjwa hizo 98% atakua ana PUD
Kawaida PEPTIC ULCERS mgonjwa hua anasema anahisi mgandamizo kifuan na moyo pia maumivu tumbon na mgongoni (Scapula)
ni lugha ya kujieleza tuwanashindwa kuelewa kua pain inaradiate from epigastric
Umenyooka mkuu, mi sio dokta ila kuna dogo alikua analalamik hivyo hivyo huhisi maumivu upande wa kushoto akisema kwenye moyo. Akadai hadi akilala upande wa huo huhisi maumivu.

Nikajua hii haiwezi kua suala la moyo mana liko more physical, nikamwambia acha kufanya mazoez magumu bila kula kisha punguza mawazo lilax kwanza.

Ni wiki ya pili hii sijamsikia, ulcers has a lot of forms na ukiwa nayo unaweza dhani kila ugonjwa unao
 
Wakuu habari, nilienda hospitali,

Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema kam hali itaendelea basi nirudi tena pale.

Ila pia muda mwngine nahisi maumivu hadi upande wa kulia na tumboni.

Wakuu mwenye mawazo zaidi hapa?

Ila pia huwa nina tatizo la asthma haswa kipind cha baridi na upepo , huwa nakuwa naumia kifua, au hii inaweza kuwa sababu?

Mana pia nahisi kifua kizito kwa mbali hivi.
Dawa hiyo hapo mkuu, tizama katika mazingira uliyopo ukiona piga picha nitumie kuihakiki kisha nikupe maelekezo ya kutumia
0656303019
 

Attachments

  • IMG_20240823_141940_821.jpg
    IMG_20240823_141940_821.jpg
    6.6 MB · Views: 24
Back
Top Bottom