Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
- Thread starter
- #21
Mkuu mbn km msusa au sionDawa hiyo hapo mkuu, tizama katika mazingira uliyopo ukiona piga picha nitumie kuihakiki kisha nikupe maelekezo ya kutumia
0656303019
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbn km msusa au sionDawa hiyo hapo mkuu, tizama katika mazingira uliyopo ukiona piga picha nitumie kuihakiki kisha nikupe maelekezo ya kutumia
0656303019
Dawa hiyo hapo mkuu, tizama katika mazingira uliyopo ukiona piga picha nitumie kuihakiki kisha nikupe maelekezo ya kutumia
0656303019
Mkuu matibabu yake yakoje?Aisee unaona kabisa patient ana dalili zote za PUD na unampatia Meloxicam?
Unafanya kazi Viwandani kwenye Mazingira yenye gesi ya sumu Kama vile asernic??Wakuu habari, nilienda hospitali,
Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema kam hali itaendelea basi nirudi tena pale.
Ila pia muda mwngine nahisi maumivu hadi upande wa kulia na tumboni.
Wakuu mwenye mawazo zaidi hapa?
Ila pia huwa nina tatizo la asthma haswa kipind cha baridi na upepo , huwa nakuwa naumia kifua, au hii inaweza kuwa sababu?
Mana pia nahisi kifua kizito kwa mbali hivi.
Yes absolutely!Huyu sio Angina ndio lugha za wagonjwa hizo 98% atakua ana PUD
Kawaida PEPTIC ULCERS mgonjwa hua anasema anahisi mgandamizo kifuan na moyo pia maumivu tumbon na mgongoni (Scapula)
ni lugha ya kujieleza tuwanashindwa kuelewa kua pain inaradiate from epigastric
Hpan mkuu sifanyi kazi niko tuUnafanya kazi Viwandani kwenye Mazingira yenye gesi ya sumu Kama vile asernic??
Yes absolutely!
Kutokana na hiyo patient history aliyoeleza, upo uwezekano mkubwa kuhusu suala hili.
Sawa mkuuKapime vipimo hivi mkuu, 1. ECG 2. ECHO 3. PUD
mkuu saivi naon hat kwa upande wa kulia kwa mbali nikivuta hewa kwa nguvu kun vi maumivu hiviHuyu sio Angina ndio lugha za wagonjwa hizo 98% atakua ana PUD
Kawaida PEPTIC ULCERS mgonjwa hua anasema anahisi mgandamizo kifuan na moyo pia maumivu tumbon na mgongoni (Scapula)
ni lugha ya kujieleza tuwanashindwa kuelewa kua pain inaradiate from epigastric
Mkuu samahni naomba summary ya hizo cont 3 juuKapime vipimo hivi mkuu, 1. ECG 2. ECHO 3. PUD
Yes typical PUDPia
mkuu saivi naon hat kwa upande wa kulia kwa mbali nikivuta hewa kwa nguvu kun vi maumivu hivi
Mkuu pud ndio nin?
AYes typical PUD
Tumia Omeprazole & ant acids
Antibiotic si muhimu sabab PUD za watu wengi HPYLORI NEGATIVE
Avoid spicy meals
Kula vizuri
Avoid acid meals
Mengine watakwambia wengine nshaanza kusahau
Vidonda vya Tumbo hivyo hakuna kingine.Huyu sio Angina ndio lugha za wagonjwa hizo 98% atakua ana PUD
Kawaida PEPTIC ULCERS mgonjwa hua anasema anahisi mgandamizo kifuan na moyo pia maumivu tumbon na mgongoni (Scapula)
ni lugha ya kujieleza tuwanashindwa kuelewa kua pain inaradiate from epigastric
Sawa mkuu, gharama kwa hospital za kbinafsi zinakuaje?1. ECG: ni kifupi cha maneno Electrography na ni kipimo kinachopima umeme wa moyo, pia inapima heart attack au angina(maumivu kwenye moyo) 2. ECHO, ni kifupi cha maneno Echocardiogram ni kipimo cha kuangalia structure za moyo zipo vipi mfano kama moyo umetanuka, shida za valve za moyo n.k
hauna bima mkuu?Sawa mkuu, gharama kwa hospital za kbinafsi zinakuaje?
Mana za kiserikal kma hio echo ni 40000 iv, niltak nipime , ila dokta baad ya kufany x ray akanambia haina shida.
Mkuu vidonda vya tumbo , c ni lazima uhisi maumivu tumboni?, kwa jan nilihis hal kam maumivu iv huko tumbon, na njaa sana, ila baad ya kuamka sihisi maumivu zaid ya kwenye upande wa moyo kwa kushitua shitua iv alafu hali inapotea, then na sometimes upande wa kulia iv, kwenye titi juu panawasha mda mwingne, na pia kam kuna ka maumivu kwa nyuma ya mgongo mbavuni, mda mwingne maumivu siyaoati kabisa yanapotea.Vidonda vya Tumbo hivyo hakuna kingine.
Ninatumia cash kaka.hauna bima mkuu?
gharama sizani kama zinafika laki kwa vipimo vyote viwiliNinatumia cash kaka.
Sawa mkuu , samahn unanishaurije nimalizie doz nilizopewa nikacheki au nirudi tu hospital mkuu,gharama sizani kama zinafika laki kwa vipimo vyote viwili
Sio msusa mkuuMkuu mbn km msusa au sion