Nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, X Ray haioneshi kitu

Nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, X Ray haioneshi kitu

meloxicam
Loprin
Isorem
Hiyo "Loprin" nimewahi tumia ....
Na nyingine ivi inaitwa "Cardimon" ......zinansaidia Sana japo kichwa huwa kinauma balaa.....

Huwa napatwa na dalili kama za mtoa mada........mpaka nitumie hizo ndo hukwisha......

Sijui tatizo exactly ni Nini mpaka Leo.....
 
Hiyo "Loprin" nimewahi tumia ....
Na nyingine ivi inaitwa "Cardimon" ......zinansaidia Sana japo kichwa huwa kinauma balaa.....

Huwa napatwa na dalili kama za mtoa mada........mpaka nitumie hizo ndo hukwisha......

Sijui tatizo exactly ni Nini mpaka Leo.....
Moyo ulipima mkuu?
Vidonda vya tumbo?
 
Moyo ulipima mkuu?
Vidonda vya tumbo?
H.pyroli antigen test-neg

Stool culture and sensitivity - no pathogen bact isolated.

ECG - nilicheki ..ila sikuambiwa majibu 2nd round. Na wala sikupewa dawa yoyote na yule daktar....

First round nlipopima Kuna sehemu niliona zimeandikwa Abnormal nn sijui ........akaisoma daktar ndo akaniandikia dawa hizo mbili Hali ikatulia.

So mpaka Leo zile dawa zilibaki vidonge vichache ,inapotokea ndo huwa natumia nakua sawa ila sijawahi jua shida exactly ni Nini .......

Swali nje ya mada Chief ,je inaweza kua na uhusiano na umeme wa mwili ? Maana huwa nipo sensitive Sana na napigwa shoti Sana na vitu vya chuma .......Sana.
 
Fanya kipimo cha CT scan, mimi niko na shida kama yako ila mimi ni maumivu ya tumbo hasa upande wa kulia kwa juu kidogo nilifanya hicho kipimo na kinaonesha kuna shida tumboni inayohitaji upasuaji kwa kuwa imeshakuwa kubwa. Ila kama ingekuwa mwanzoni pengine isingehitaji upasuaji. Nakushauri ufanye kipimo hicho ili kama ni tatizo dogo uweze kutibiwa. Dawa za maumivu haziondoi tatizo bali hufubaza maumivu tu.
 
Fanya kipimo cha CT scan, mimi niko na shida kama yako ila mimi ni maumivu ya tumbo hasa upande wa kulia kwa juu kidogo nilifanya hicho kipimo na kinaonesha kuna shida tumboni inayohitaji upasuaji kwa kuwa imeshakuwa kubwa. Ila kama ingekuwa mwanzoni pengine isingehitaji upasuaji. Nakushauri ufanye kipimo hicho ili kama ni tatizo dogo uweze kutibiwa. Dawa za maumivu haziondoi tatizo bali hufubaza maumivu tu.
Duu mambo ya uperation siyapendi
NGj kesho nikasikilize majibu ya maabara, nipime na ecg na kisha echo na pud.
 
H.pyroli antigen test-neg

Stool culture and sensitivity - no pathogen bact isolated.

ECG - nilicheki ..ila sikuambiwa majibu 2nd round. Na wala sikupewa dawa yoyote na yule daktar....

First round nlipopima Kuna sehemu niliona zimeandikwa Abnormal nn sijui ........akaisoma daktar ndo akaniandikia dawa hizo mbili Hali ikatulia.

So mpaka Leo zile dawa zilibaki vidonge vichache ,inapotokea ndo huwa natumia nakua sawa ila sijawahi jua shida exactly ni Nini .......

Swali nje ya mada Chief ,je inaweza kua na uhusiano na umeme wa mwili ? Maana huwa nipo sensitive Sana na napigwa shoti Sana na vitu vya chuma .......Sana.
Mkuu hpo sijajua kabisa.
 
Back
Top Bottom