Nahisi mke wangu anachepuka

Bado hujafuzu kuoa tulia kwanza ukishaacha hizo asira za kuchapa mke ndo utakua umekau
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]umenifurahisha Sana hapo,kwenye jukumu lako la kuoa.
 
Wabena hatuna hizi mambo za kuchepuka siyo wanawake wala wanaume.


Wabena ni wahehe baadhi yao wanaoongoza Kwa unafiki na hila!

Ni watu wakujipendekeza sana hata Kwa gharama ya wengine huwa hawajali.

Anachosema mdomoni sicho anachomaanisha moyoni.

Halafu kwa ushirikina na uchawi usiulize!

Mbona kwenye Wabena wengi ndio kunaongoza kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi?

Kwa mujibu wa Tacaids Njombe, Iringa wanaoongoza wengine wakifuatia.
 
Umewahi kuwa na Mwanamke wa kibena mpaka iseme wanawake wa kibena ni jeuri . Wanawake wakibena wanajulikana kama wanawake wavumilivu na watiifu



Thubutuu!

Wanajua ku-pretend sana!

Sio wa kuwachukulia poa hata kidogo.
 
Mara ya mwisho mi niliona Mtwara, lindi na Tanga zinaongoza. Takwimu zako ni za mwaka gani?

Pia tambua kwamba maeneo mengi ambayo maambukizi ni makubwa kuna shida ya elimu duni na elimu ya uzazi kwa ujumla.

SIfa ulizoandika za hila, uchawi na unafiki ni umechukua sifa za makabila mengine ya Njombe na kutugea wabena.

Hapo ndiyo umekosea.
 
Usije ukajichanganya eti ukaoa mhehe au mbena...ni wanafiqi wa olympics. Anaongea hiki moyoni ana kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…