Nahisi mke wangu anachepuka

Km ni kweli hongera sana Mkuu
 
hafai huyo... yaani wanawake wa sikuhizi dah!
 
Ndoa za watoto ndio shidaa sie tupo kwenye ndoa mwaka wa 14 huu hakuna hofu ya kumegewa.
Sa hivi nipo huku JNHPP mwezi wa 2 huu natafuta pesa ikifika miezi naenda fanya show ya kibabe wiki nzima then narudi kusongesha.
Mkuu upo Corona,Sino ya Suni(ndogo )au Sino kubwa?mi nipo Saddle Dam huku
 
Mahari bado hujalipa halafu umeanza unyanyasaji?
 
Mkuu upo Corona,Sino ya Suni(ndogo )au Sino kubwa?mi nipo Saddle Dam huku

Mkuu upo Corona,Sino ya Suni(ndogo )au Sino kubwa?mi nipo Saddle Dam huku
Nipo Mohamed Builders Ltd Jirani na Corona Camp ,
Nyie wa Mwarabu ndo nuksi minne ukipitiliza unasubiria mingine.
Ndoa nyingi zisizo na misingi imara zimeparanganyika Asee!!
 
Unaolewa ili udinywe
 
Wanawake tafuteni hela.

Imagine anakurudisha kwenu kama furushi, ukitaka kurudi lazima umuombe nauli.

Iwe amethibitisha au hajathibitisha kama umechepuka unakula kipondo

Tafuteni hela jamani

Tafutenj hela wanawake
Kwahyo watafute hela ili wawe na kiburi au sio
 
Kuna saa ukisoma Visa vya hili Jukwaa unaweza kwenda madhabahuni kumtolea sadaka ya malimbuko , ya mwaka, ya matokeo, ya mavuno baba wa watoto wako /partner wako / mumeo.

Haki vile!!
Kuna wanaume ni daaaaah!!
Mmojawapo ni wewe.
 
Mna umri gani wewe na mpenzio? Mapenzi ya kukaguana simu mi naona kama ya kitoto sana, sijui kwa nini au bado hamna uhakika na maamuzi yenu ya kuingia kwenye mahusiano?

Utakufa kwa presh chief, kama unahisi mtu sio mwaminifu achana nae, tafuta mtu mwaminifu ambae huna haja ya kukagua simu yake
 
Kuna saa ukisoma Visa vya hili Jukwaa unaweza kwenda madhabahuni kumtolea sadaka ya malimbuko , ya mwaka, ya matokeo, ya mavuno baba wa watoto wako /partner wako / mumeo.

Haki vile!!
Kuna wanaume ni daaaaah!!
Mmojawapo ni wewe.
Umeonaeeee, yaani mtu unapokea mpaka simu ya mpenzi wako, mambo ya kitoto sana
 
Una utoto mwingi, unamtandika mke na mkanda kweli?

Mpaka sasa naona wewe ndio tatizo, the way you treat her you should expect the same treatment from her, kupishana kauli kupo lakini isifike hatua ya kumpiga, muheshimu na umchukulie kama mke, mambo madogo madogo kama maji ya kuoga ni ya kuambizana kwa upendo na kurekenishana.

usitumie nguvu kuishi na mwanamke bali tumia AKILI
 
Kwa story hii we jamaa unaonekana sio romantic kabisa aisee, wewe ni kudinya tu πŸ˜‚πŸ˜‚. Hebu uwe unamfurahisha kidogo mkeo labda ndio sababu anachepuka.
Labda maisha yako wewe ukitoka job ukafika tu home huwa hivi:-
Mmeshindaje hapa? Flora kanibandikie maji ya kuog.
Akibandika ukaoga, unakula baada ya hapo sasa ndo unaomba mbususu unadinya weeee siku imeisha πŸ˜‚πŸ˜‚.
Mleteee hata vizawadi sio kipondo na kidinyo tu mkuu. Kwa mimi nahisi wewe ndio sababu so hapo mnaoneshana ubabe ko wewe tumia akili sio miguvu.
 
Hahahaha, nimecheka hapo chakula kishuke ndo upate mzigo.
 
Wabena hatuko hivyo huyo kazaliwa morogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…