StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Heri waachane kuliko kujifariji na ndoa inayonuka uzinziHaipendi ndoa yake huyu acha aendelee afu siku aje alete thread nyingine ya kuachana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri waachane kuliko kujifariji na ndoa inayonuka uzinziHaipendi ndoa yake huyu acha aendelee afu siku aje alete thread nyingine ya kuachana.
ni zaidi ya ghubu.......Tuna miaka 10 ya ndoa na watoto 3 sasa. Naijua vyema radha ya papuchi yake, navyosema naijua ni kwamba naijua kweli.
Mwaka juzi nilihamishiwa mkoani kikazi nikamuacha Dar. Baada ya miezi 3 nirudi home kiukweli radha imekuwa tofauti sana. Tabia haijabadilika na nimemwambia kuwa nahisi unachepuka amekataa kabsa but naona kuna kila dalili za ukweli kwenye hisia zangu.
Nitumie rafiki zake kufatilia
Au niende kikomando
Ladha!!!Sasa hii ni nini!!
Ili afe na UKIMWI?Ikiwa unataka kuendelea na ndoa yako acha kufuatilia vitu vya hisia hasa kuhusu unyumba, ila kama umeichoka ndoa yako mfuatilie ,naomba mm niwe chawa wa kujua kila kitu cha mkeo ikiwa umeamua kufuatilia,
Inawezekana hata huyo mpiga show hayupo ila chupa za soda ndio zinamaliza ndio zinapiga mchongo.Hahahahah mpiga show atakuwa na mjulubeng XXL kashatanua wigo wa radha[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28]Labda ulionja onja huko ulipokuwa.
Sasa paipu inatindinganya mambo haijui taste ipi ni ya wapi.
Pumzika uzinzi mkuu.
ukisema bora waachane ataacha hadi ndoa ngapi mkuu , maisha yalishabadilika sana siku izi karibia jamii nzima imejaa uzinzi hata huko unapopadhania akimbilie huenda ni pabaya kuliko atakapotoka ni kwa sababu tu unapaona ukiwa nyuma ya pazia.. mimi nashaur asonge mbele madamu hajamshika waziWaz dhana zilizo nyng huwa ni uongo ulio karibu na ukweli .Heri waachane kuliko kujifariji na ndoa inayonuka uzinzi
Ukishajua kuwa anachepuka unapanga kufanya nini?Tuna miaka 10 ya ndoa na watoto 3 sasa. Naijua vyema radha ya papuchi yake, navyosema naijua ni kwamba naijua kweli.
Mwaka juzi nilihamishiwa mkoani kikazi nikamuacha Dar. Baada ya miezi 3 nirudi home kiukweli radha imekuwa tofauti sana. Tabia haijabadilika na nimemwambia kuwa nahisi unachepuka amekataa kabsa but naona kuna kila dalili za ukweli kwenye hisia zangu.
Nitumie rafiki zake kufatilia
Au niende kikomando
Inawezekana kabisaa yani kama K imeongezeka size unajua kabisaaaaNikicheza na wewe FIFA 22 kwenye PS4 nitakumbuka hiyo moment na mechi nzima hata mwaka mbele ila tukisex within 30 minutes nitasahau how sex felt ila nitajua tu tulisex.
This nigga anasema anajua ladha ya K ya mkewe this is bullshit.
Kama una kibamia kila siku utahisi hivyoInawezekana kabisaa yani kama K imeongezeka size unajua kabisaaaa
Alishamchoka ukuona hivyo..Aaaaa mkubwa umemuumbua wife rafiki dah .... Ulishindwaje kuyamaliza na mkeo mpaka ukamwanike kanisani?
Siku nyingine kaa nae myamalize wawili
Zile za kukutana baada ya miezi 6. Mmoja Kigoma mwingine Ntwara au ArushaNdoa ya remote ndio ipoje?
OkZile za kukutana baada ya miezi 6. Mmoja Kigoma mwingine Ntwara au Arusha