Nahisi mke wangu anachepuka

Nahisi mke wangu anachepuka

Pole kwa KUOA
Usihukumu,,,, kuna Mirinda pia siku hizi..

Mkuu acha kifuatilia mambo ya mkeo kama haujaamua nini utakifanya baada ya kukuta amechepuka kweli....

Utakuja kulia lia humu tena...

Thank me later...
 
Tuna miaka 10 ya ndoa na watoto 3 sasa. Naijua vyema radha ya papuchi yake, navyosema naijua ni kwamba naijua kweli.
Mwaka juzi nilihamishiwa mkoani kikazi nikamuacha Dar. Baada ya miezi 3 nirudi home kiukweli radha imekuwa tofauti sana. Tabia haijabadilika na nimemwambia kuwa nahisi unachepuka amekataa kabsa but naona kuna kila dalili za ukweli kwenye hisia zangu.
Nitumie rafiki zake kufatilia
Au niende kikomando
Utakuwa unatafuna huko uliko so umekuwa na ladha mtawanyiko
 
Tuna miaka 10 ya ndoa na watoto 3 sasa. Naijua vyema radha ya papuchi yake, navyosema naijua ni kwamba naijua kweli.
Mwaka juzi nilihamishiwa mkoani kikazi nikamuacha Dar. Baada ya miezi 3 nirudi home kiukweli radha imekuwa tofauti sana. Tabia haijabadilika na nimemwambia kuwa nahisi unachepuka amekataa kabsa but naona kuna kila dalili za ukweli kwenye hisia zangu.
Nitumie rafiki zake kufatilia
Au niende kikomando
Amini nakuambia hisia zako zipo sahihi. Kila mbo.0 inaitambua papuchi yake ya muda mrefu na kitumbua kikitiwa mchanga lazima upate mikwaruzo...... Once upon a time it happened to be true.
 
Hata kama unaishi nae kama ni tabia yake atachepuka tu,kama hujaona matukio live,Mwanaume we ishi ukijua mkewangu hachepuki tu bas maisha yaendelee
 
Pole kwa hilo mkulungwa.
Ningalikuwa mm nisingetumia marafiki zake kwani inaumiza kuona kwamba Jambo Hilo unapeleka hadharani kwa marafiki zake(aibu &fedheha)
Pengine pia nisingetumia njia za kikomando...kwani zitaniongezea stress zaidi...
Inatokea wakati mwengine Kama hajisafishwa vzr kwa muda mrefu ladha inabadilika,Kama anakaribia au ametoka si muda mrefu katika mzunguko wake ladha pia inabadilika
N:B
Mpende Sana mkeo
Mjenge kiimani mkeo
Mwelimishe mkeo
NAWASILISHA.
 
Tuna miaka 10 ya ndoa na watoto 3 sasa.

Naijua vyema radha ya papuchi yake, navyosema naijua ni kwamba naijua kweli. Mwaka juzi nilihamishiwa mkoani kikazi nikamuacha Dar. Baada ya miezi 3 nirudi home kiukweli radha imekuwa tofauti sana. Tabia haijabadilika na nimemwambia kuwa nahisi unachepuka amekataa kabsa but naona kuna kila dalili za ukweli kwenye hisia zangu.

Nitumie rafiki zake kufatilia

Au niende kikomando

Mrejesho
 
Pole kwa changamoto hiyo,lakini huo ndio ukweli kuwa ukihisi mkeo anachepuka basi tambua anachepuka kweli...Na kama hivyo ndivyo basi huyo keshapoteza hisia na wewe(let her go,walk away and move on)...
 
Kama huna uwezo wa kumuacha basi usimfuatilie, Epuka maumivu yajayo yaweza kuwa makubwa zaizdi ya yaliyopo sasa. Pole
 
Back
Top Bottom