Ulikuwa wivu tu huoAhahahaa wewe c ulikwenda[emoji10] nae msibani mkeo akawa busy na ma binamu zake Hadi ukaondoka kabla ya mazishi[emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu,yani mpaka nikawa nahisi network inasumbua kumbe hakuna kitu.Yaani kila ukiangalia simu yako huoni hata missed call, hata sms tu. Mpaka unahisi simu ni mbovu.
Je wewe unampenda? Kama uliona hivyo, kwanini hukumpigia na kusikia angesemaje? Kama wewe umengoja kupigiwa, kwanini naye asingoje kupigiwa? Kimsingi, hakuna sababu ya kuanza kushuku. Fanya utafiti ujue tatizo ni nini na linataka suluhu gani badala ya kulalamika. Isitoshe hao wenzako hujui uhusiano wao na kama waliokuwa wanasema ni wake zao kweli ni wake zao. Upendo kwako hauwezi kutegemea ni mra ngapi kakupigia simu. Wengine wanaweza kukupigia wakati wako na hawara zao na wengine wasikupigie wakingoja uwapigie au kuogopa kukusumbuaHuyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Akikuambia ni mkwere utakua na nini cha kumshauri?Samahani mkuu, [emoji848] we ni kabila gani vile?
huyo hakupendi kabisaHuyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Kapata wivu 🤣😅Hilo nalo kweli, ukute alishamua kujikatia tamaa sasa jamaa kaona wenzie wapo busy na wake zao ha ha ha
Mbona unasumbuliwa na vitu vidogo?ndoa yako ina muda gani?watu huonesha upendo kwa njia tofauti!!Huyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Ndio maana HAKUPENDINa je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Wazazi wanaojua maana ya ndoa huwa hawaingilii ndoa za watoto wao. Wao wapo kwa ajili ya ushauri tena wakiombwa ushauri.Hapo sasa wazazi wanakosea sababu ndoa teali ni maisha ya watu wa2 hayapaswi kuingiliwa kabsa wazazi tunawapenda sana lakini kunamaisha ya ndoa nayo yananafasiyake
Stop guessing.Akikuambia ni mkwere utakua na nini cha kumshauri?
Cold war[emoji23][emoji23]na wewe weka Whatsapp status picha yako umekaa kaunta umevaa shati jipya alafu kwenye caption andika “free like bird”
Mosi kama una kifua kapime DNA hao watoto. Halafu mengine utajua mwenyewe.Huyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Mkuu una umri gani? Je mmezoezana kuwasiliana mara kwa mara? Usikute hata ukiwa kazini nyie hamuwasiliani labda kuwe na emergencyHuyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?