Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Watu wanaoa ili wapate mwenza wa ndani na atakayesimamia nyumba. Kama wewe mke huwezi hayo basi huna faida yoyote zaidi ya kuwa liability ambayo kazi yake ni kutotoresha liability nyingi zaidi.
Kama wewe ni wale wanawake wasioweza kufanya chochote unategemea nini sasa? Hata mimi ningekuwa natafuna hiyo binti, utakuwa na bahati kama bado sijakutimua mpaka hatua hiyo.
Kama wewe ni wale wanawake wasioweza kufanya chochote unategemea nini sasa? Hata mimi ningekuwa natafuna hiyo binti, utakuwa na bahati kama bado sijakutimua mpaka hatua hiyo.