Mungu Ni mwema,tutavuka Kaka Uttoh[emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani.poleTuombeane, maana kwa kweli wakati mwingine naamka saa 9 usiku naangalia tu, ukimgusa anageuka upambane mwenyewe, ajigusi, kwa hiyo navunga tu, nangoja awe na moody
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani.pole
Unajua hata tukilia huku jf hatuwez pata solution? We cheka tu..Kisha muombe Mungu kwa Imani yako.Sasa unanichekea nini? Mbona mie sijakucheka
Unajua hata tukilia huku jf hatuwez pata solution? We cheka tu..Kisha muombe Mungu kwa Imani yako.
ShukranPoa, nakuelewa. Siku njema, kila la heri.
[emoji23] jamanii.. tunakikao nawe[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Mje home Basi kikao kifanyikie hapa[emoji23] baba sweetie hapendi nitoke home[emoji23] jamanii.. tunakikao nawe
Oh mwamuzi wa kurudi nyumbani muda unaotaka unao wewe mwenyewe[emoji1][emoji1]
Nipo Swangs town kwa week nzima hapa.....[emoji4]
Utakapokuja pande hizi nijulisheEeeh!! Napiga hodi mwenyewe afu najikaribisha mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wape hi Swax
Mpe mdaa - Vaa vizuri, oga vizuri, mpende na umheshimu.Mume wangu aliponichoka.
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Utakapokuja pande hizi nijulishe
Namaanisha cute au hutaki kumwagilia moyo mpaka uelee....?😄Wacha wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]Mume wangu aliponichoka.
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Dah aisee [emoji26][emoji3064][emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Namaanisha cute au hutaki kumwagilia moyo mpaka uelee....?[emoji1]
Life[emoji17]
Nitumie number yako PMAnza kunimwagilia na vocha kwanza tuone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitumie number yako PM
Upo romantic sn wew dada, huyo Jamaa yako cjui anafeli wap kwakweli Yan bdo najiuliza anachezea bahati sana cku ukiondoka ukamuacha atajuta maishaJamani I can't tag everyone..lakin thanks... honestly Niko vibaya.. vibaya Sana..nshalia mpaka machoz yameisha sasa nacheka Kama mjinga[emoji85]. Maswali Ni mengi..
jamani Mimi Ni msafi sijisifii... kitandan namkimbiza mbali kabisa [emoji85] pesa Sina yes nliacha kazi sababu alinipa option ya yeye au kazi na Mimi nikasema nakutaka wewe baba Sweetie....
Ni msomi[emoji41]Nina jiwe langu moja japo halinsaidii lakin poa tuu...
Sina mdomo..napenda love everywhere Everytime....Yan mahaba kwny kila hatua, asubuhi mpaka tulale Ila ndo ye hawez anaona disturbance...
Yawezekana kweli Kuna mahala nilimkosea..Ila nyie..I remember one night na sitokaa niisahau..nlimuomba Sana aniambie Nini nifanye ili tuwe sawa. The more namuomba ndio the more ananidharau.. Yan alinishusha mpaka level ya mwisho ya ubinadamu...akanitukaaana na kunisimanga .
But it's okay... Kuna aliesema why naeleza mambo ya ndoa [emoji4][emoji4]sharing with you doesn't make me lose a thing...Wala hatujuani... Huwez jua comments zitaeza save one lost soul.....nyie nampenda baba sweetie [emoji23]
Faithfully...
Mama sweetie..
Nawapenda