Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Bwana equinox [emoji4] thank you..Ila ukweli Ni kwamba..Mimi Ni msafi kuliko kawaida....halafu vyote hivyo sio vipya nipo ivyo tangu ananitongoza mpaka Sasa tuna watoto wawili...nikimtega yes anategeka Ila ananifanya kwa faida yake[emoji24] akishakojoa huyoooo kuchat Facebook
Kama uliacha kazi baada ya kuolewa hiyo ni technical error. Fanya namna upate kazi. Mwanamke mwenye kazi/biashara nzuri anapendeza na kuvutia zaidi ya mama wa nyumbani.
 
Inawezekana hajiamini huyo mumewako!kwahiyo anakushusha ili ujione takataka zaidi.

Inawezekana pia nguvu za kiume zimeanza kupungua kwahiyo anakunyanyasa ili ukose kujiamini kabisa ujione haufai na huwezi kupata mwanaume wa kukupenda zaidi yake!yaani anakufanya uamini yeye ndio amekustiri wewe[emoji23]bila yeye huwezi kuishi[emoji23]!

Unyanyasaji ni miongoni mwa mbinu wanayoitumia wanaume wenye matatizo ya nguvu za kiume ili usiweze KUMUACHA!!,wanakua na shida sana!ubabe mwingiii,amri nyingi ndani tena za ajabu ajabu,mkali sanaa,matusi mengiii,mwingine hata kukupiga anaweza kukupiga

Kama nguvu zake ziko sawa basi huyo mtu ana mwanamke mwingine!!mimi nilipitia situation kama yako!tena hivyohivyo kabisa!ni amini mimi jamaa ana MTU WAKE!wanaume wengine hawawezi kubalance upendo hivyo anaegemea sana kwa mchepuko kuliko kwako!

Kama amekuchoka kweli basi hakuna namna yeyote ile unaweza kufanya ili akupende tena!yaani wanaume wakikuchoka wanakua hivyo!Kuna njia 2 za kufanya nazi ni hizi;

1.Kama munayo ndoa ya kanisani basi na munaowatoto kama ulivyosema basi wewe anza kuhangaika na watoto wako!una degree moja (kama nimekuelewa vizuri)toka ndani nenda katafute ajira hata kwenye viwanda,makampuni na mashirika binafsi,usichoke utapata tu nakuombea!

2.Acha kabisa kumfata fata!Mahaba ni Intimacy lakini Intimacy hiyohiyo inageuka kero pindi mapenzi yanapokufa,Nakuelewa!Najua ni ngumu sana kuacha kumfatilia au kujipendekeza kwa mumeo hasa kama unampenda sana!ila jitahidi hivyohivyo kidogokidogo utaweza

3.Usitegemee yeye kubadilika,wewe ndie ubadilike!
Amua kuchagua furaha,hata kama kwasasa huna hela ya kujiremba ila nina Imani unazo nguo nzuri kabatini,Oga vizuri na Ubane/Chana nywele zako vizuri..Hakuna Tiba kubwa zaidi ya Tabasamu!!Mylove Tabasamu!!ni ngumu kutabasamu ikiwa moyo unavuja damu ila jitahidi tu!![emoji30]Usionyeshe unyonge ukiwa nae,Acha kulalamika.

4.Jenga imani kwamba huyo sio wako tena!kubali kuachika!Ona kama jamaa anakusaidia tu wewe na watoto wako kwa muda mfupi kabla hujaachwa Officialy!!ukijijengea dhana hii itakua msaada mkubwa kwako wa kumove On haraka na kupooza moyo wako!

5.Mwisho!usimuache mungu,Omba mungu akupe moyo wa kuishi bila yeye na sio mungu ambadilishe yeye!

Natamani ningekuwa karibu na wewe tukashare maumivu na uzoefu maana njia yetu moja!
Hahaha
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Pole dear
 
Kwa kipindi hichi unachopitia wakati mgumu njoo ujiegeshe kwangu kwa muda
 
Mkiwa na mimba mnazinguaga sn nyie, mnatutenga, mnatutamkia lugha chafu, mara ohh sitaki kukuona, unanuka, sijiskii kuongea na wewe na viburi vya hapa na pale.

Sasa hali hiyo hupelekea taratiibuuu na sisi kujiweka mbali na ninyi kama kuchelewa kurudi nyumbani, kuhang around na watu wengine vijiweni na hata kwenye mabaa na hatimae tunaanza mahusiano ya siri huko nje.

Sasa mkisha recover na kurudi kwenye hali zenu ndio mnajifanya mnarudisha mapenzi na kusahau kwamba mlishachoma mionyo yetu na mapenzi yalishahama.

Sasa mda huo ukija eti ohh baby ninyonye mbususu mtu anakuona wa kawaida sn na hata hamu na wewe hana, tena ukizingatia unakuwa umeshajifungua structure ya mwili imebadilika na kupoteza mvuto basi arghhh inauzi kwakweli.

Kwahiyo muwe waungwana mnapokuwa mmebeba mimba la sivyo malalamiko hayataisha na kusingizia waume zenu.
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Mimi sijawahi kumsaidia Mke wangu kubadiri uelekeo wa Kitanda.
Na hajawahi hata siku moja kuniomba nimsaidie kubadiri uelekeo wa kitanda.
Ila kila baada ya Muda flani ntakuta yeye mwenyewe kabadiri ueleo wa kitanda, na halalamiki....! Mm Huwa nakuta tu mazingira yamebadirika.
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Njoo nikutoe dukuduku 🙂
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Ndio hapo kakuchoka kweli japo sio kwamba hakupendi,sasa njoo dm nikufundishe ninwapi unakosea ili mrudi kama ilivyokuwa zamani
 
Hahahahaha leo asubuhi nikaenda kununua chapati sehemu furani hivi,nakuta muuzaji ana mgeni hapo,anaambiwa eti kwenye ugomvi,limwanaume linene sukuma hata libamize kichwa chini,yale hayanaga nguvu. Kwamba akiwa mwembamba,gombana nae kwa akili,na ikiwezekana kama unataka kumdhulu,mvizie akiwa usingizini.
Sasa,unajiuliza,wanawake wa siku hizi, makatili,af wanataka wanaume wastaarabu. Jamani, Mungu wenu si anawapa wa kufanana nae? Sema tu mkizidiwa ujanja na uhuni,mnaanza kulalamika. Kwanza ana huruma kam bado mnalala chumba kimoja. Wengine hula kwa mama ntilie au kwa michepuko,nguo zinafuliwa huko huko,unapika unakula,shida nini! Hapo labda kama hakujali(kununua vyakula na kuweka ndani),siyo kukupa hela. Tena natuma housegirl/boy sokoni,ananunua vitu vya wiki kabisa. Kasoro karoti na mchicha. Ambavyo pia kama kuna fridge,analeta anaweka. Kama hayupo,nakuletea mwenyewe. Ukichoka, sepa. Nenda kwa hao hao wanaoshika sehemu unayoipenda.
Tatizo siku hizi wanawake wametekenywa na wanaume wengi. Hivyo hata ukiolewa,unaanza kulinganisha ufanisi wa wengi.
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Dah dunia bhana!
Mwambie mumeo tubadilishane aje achukue Hili tipwatipwa, we uhamie kwangu.
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Dah dunia bhana!
Mwambie mumeo tubadilishane aje achukue Hili tipwatipwa, we uhamie kwangu.
 
Back
Top Bottom