Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Wanawake mnawekeza sana kwenye mapenz kuliko kutafta maisha na pesa.

Sasa unakonda kwa ujinga[emoji16]

Halaf mnataka muwe viongoz wakuu... Mtabak kuwa viongoz wa mazabe hvyo hvyo.. had itokee bahat mbaya

Sabab hamjiamini.

Jarib kumu ignore na kuanza kupendeza uone.. ataanza hisi unataka chepuka.. atarud mwenyew..

Tumia akil mwanamke usiwe kama boya.
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
The seven year itch (katafute hiyo movie)
 
Mie nikiona mwanamke anatesekan najisikia huruma saana.😌😌, najisikia vibaya mnoo, zaidi ya mnoo
Njoo nikupende mimi. 😉😉😘

Niite BABA HURUMA. 🤣😂🤣
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji3][emoji3][emoji3] kama kweli vile!
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Umejisahau, kaa msafi mfanyie ushangingi, wewe unakuwa na mapenzi ya kisabato. Lazima kuna mwanamke mwenzako keshamteka anapewa mpaka vya uvunguni
 
Mi wangu nishaacha kugonga sababu ya kitambi aisee, namtumiaga video za kuondoa kitambi kwa mazoezi wala hana habari, nina vi under 20 namba E ndo vinaniweka mjini
 
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Kosa kubwa lilikuwa hili! Mi namshukuru Mungu nimelivuka…

Jamani wanawake msikubali kuacha kazi kwa hadaa ya kuhudumiwa na waume zenu, acha kazi ukiwa na cha kufanya sio kukaa nyumbani mnajichokea mwisho wanaume nao wanawachoka ndio mambo kama haya.
 
Hii inatupata wanaume wengi kuwahi kuwachoka wanawake hii hali haijalishi mwanamke anamwonekano gani Ila umvaa mwanaume na kuona mke wake ni outdated.




Nadhani pia wanawake wawekeze katika content za kutengeneza future bora ya familia sisi wanaume huvutiwa na huwapenda Sana wanawake wenye AKILI. Baada ya tamaa za ngono kuisha. Hujusikia fahari na Amani kukaa na mwanamke mwenye akili kichwani.
 
Back
Top Bottom