Yours_sincerely
Member
- Jul 12, 2023
- 79
- 299
- Thread starter
-
- #81
[emoji24][emoji24]Acha kumfatilia fanya mambo mengine utakufa kwa stress bure unavyozidi kungangania akupende ndo unazidi kumpoteza
Joanna..nikilia hapa jf ndo ntasolve ndoa yangu?..waweza kuona beyond kicheko Changu..yawezekana kina maana zaidi ya uliyoona...Sasa mbona unacheka?Unafurahia unachopitia?
Hapana,sio sawa....naona kama una mizaha kwenye suala nyeti linalogharimu afya Yako ya akili,mwili,na rohoJoanna..nikilia hapa jf ndo ntasolve ndoa yangu?..waweza kuona beyond kicheko Changu..yawezekana kina maana zaidi ya uliyoona...
Sawa....Hapana,sio sawa....naona kama una mizaha kwenye suala nyeti linalogharimu afya Yako ya akili,mwili,na roho
love story auMume wangu aliponichoka...
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Ya kwelilove story au
AsanteAsee.. pole dada
Hapana siweziAnza kuzoeana na Bodaboda tu wa Mtaani,atarudia upendo wake wa Awali.
Basi endelea Kukondeana...Ila pole sana RafikiHapana siwezi
Unadhani ni sifa kujinadi unampenda mtu anaekuita Mbwa?imagine thamani Yako ni sawa na Mbwa.....aisee watu mnajua kupenda jamaniNdio Maddox..how I wish nijikatae? Nimefall kabisa.. kweli nampenda
Acha huu upuuzi ungekuwa karibu ningekupa kerbu Moja!😎Nampenda [emoji85]
Wanaume huwa tunajisahau kwa kuwa ninyi hamjilengeshi upya, sisi tunapenda mambo tofauti tofauti, tengeneza mkakati lamamaYa kweli
SawBasi endelea Kukondeana...Ila pole sana Rafiki
SawaNenepa upendwe. Hata mm mwanamke mwembamba au ambae yuko slim sipendi, napenda the chubby one
Is this all you can say to a broken soul?Kama ulitumia dawa yamkini zimexpire karenew.... otherwise tafuta kazi uwe busy